Walimu kufeli mitihani ya wanafunzi, shida walimu au mfumo?

Katika hali isiyo ya kawaida, walimu wanaweza kufeli mitihani ileile waliyowatahini wanafunzi wao? Je, hali hii inaweza kuwa kipimo cha kuonyesha kuwa walimu hawa ni wabovu iwapo watastukizwa kufanya mitihani hiyo pasipo maandalizi? Turejee historia. Tukio hili lilizuka mwaka 2011, wakati aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Joyce Ndalichako, alipowapima ghafla…

Read More

Mbowe, Lissu, Lema, makada Chadema waachiwa kwa dhamana

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanza kuwaachia wanachama na viongozi wa Chadema waliokamatwa akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe. Mbali na Mbowe, wengine walioachiwa ni Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu, Mwenyekiti Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema na Naibu Katibu Mkuu-Bara, Benson Kigaila. Mbowe na wenzake wamekamatwa kwa nyakati tofauti asubuhi ya…

Read More

Dilunga asimama na Chama | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Hassan Dilunga amemtaja Clatous Chama kuwa ni kiungo bora aliyewahi kumshuhudia kwa miaka ya hivi karibuni kwa mastaa wa kigeni waliobahatika kucheza Ligi Kuu Bara. Dilunga na Chama waliwahi kucheza pamoja ndani ya Simba ambapo msimu wa 2018/19 wakati timu hiyo inafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

Moallin bado anapambana na mambo mawili

KOCHA Mkuu wa KMC, Abdihamid Moallin amesema anafurahishwa na mwenendo wa kikosi hicho, lakini jambo analolifanyia kazi kubwa kwa sasa ni kutengeneza balansi nzuri kwenye eneo la kujilinda na kushambulia kwani bado halijamridhisha. Kauli ya Moallin imejiri baada kikosi hicho kulazimishwa suluhu na JKT Tanzania katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye…

Read More

Coastal Union hali tete | Mwanaspoti

HALI sio shwari ndani ya kikosi cha Coastal Union kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo ya Ligi Kuu Bara inayoendelea kuyapata huku kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Joseph Lazaro akieleza ni upepo mbaya wanaokutana nao na sio vinginevyo. Kichapo cha juzi cha bao 1-0, dhidi ya Azam FC kimeifanya timu hiyo kupoteza michezo mitatu…

Read More

Uchovu wapunguza mabao Azam | Mwanaspoti

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema kuwa timu yake ilipata ushindi mgumu dhidi ya Coastal Union ya Tanga kutokana na uchovu uliowakumba wachezaji baada ya mechi mbili mfululizo ndani ya siku chache. Taoussi alieleza kuwa timu yake haikuwa na nafasi nyingi za kufunga dhidi ya Coastal Union jambo lililochangiwa na kukosa muda mwingi wa…

Read More

Fadlu amtaja Kibu, Camara | Mwanaspoti

USHINDI wa mabao 3-1 ilioupata Simba juzi dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika, umempa mzuka kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids ambaye hakuficha hisia zake kwa kuwataja Kibu Denis na Moussa Camara. Simba imepata ushindi huo na kufuzu hatua ya makundi kwa jumla ya mabao 3-1, baada ya mchezo…

Read More