Simba, Yanga bado dakika 270

MUDA wa kuendelea kufanya shangwe la kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, umekwisha na sasa wakongwe wa soka la Tanzania, Yanga na Simba wana kibarua kigumu cha dakika 270 sawa na mechi tatu. Kibarua walichonacho wakongwe hao kila mmoja ni katika kuwania pointi tisa zinazopatikana katika mechi…

Read More

Aziz KI afichua siri ya mkataba wake Yanga

BAADA ya Yanga kuweka rekodi ya kuwachapa Waethiopia ndani-nje na kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kibabe, staa wa kikosi hicho cha Jangwani, Stephane Aziz Ki amefunguka kuwa hawana presha ya hatua inayofuata, huku akifichua siri iliyopo katika mkataba wake. Aziz Ki ambaye ni mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More

Hii ndiyo simulizi ya Kimara na mitaa yake

Dar es Salaam. Tofauti na ilivyo katika maeneo mengi, karibu kila jina la mtaa unaounda Kata ya Kimara ni simulizi yenye historia maridhawa. Uwepo wa viwanda, shughuli za kiuchumi na miradi mbalimbali, ndiyo msingi wa ubatizo wa majina hayo, yanayoendelea kutumika hadi sasa. Unapotokea mjini , Mtaa wa Kibo ndilo lango la kuingia Kimara. Ingawa…

Read More

Kutesa 'tabia ya kawaida na inayokubalika' katika vita vya Ukraine, wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wanasema – Masuala ya Ulimwenguni

Katika sasisho la mdomo kwa wanachama, Erik Møse, mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi juu ya Ukraineilisema imenakili kesi mpya za mateso yaliyofanywa na mamlaka ya Urusi dhidi ya raia na wafungwa wa vita katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Ukraine na katika Shirikisho la Urusi. “Tulikusanya ushahidi wa unyanyasaji wa kijinsia unaotumika kama mateso, haswa…

Read More

Vijana bilioni 1.3 wanaougua matatizo ya akili, Wenyeji wa Urusi wanakabiliwa na 'kutoweka', sasisho la haki za Belarusi – Masuala ya Ulimwenguni

WHO Mkurugenzi Mkuu Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema kuwa kushindwa kushughulikia afya ya kiakili, kingono na uzazi ya vijana kutakuwa na “matokeo makubwa na ya kutishia maisha kwa vijana”. Pia itakuja kwa gharama kubwa kwa jamii, ambayo inahalalisha uwekezaji mkubwa wa umma kutoka kwa serikali ulimwenguni kote. Tedros alibainisha kuwa upungufu wa damu miongoni mwa wasichana…

Read More

PROFESA MKUMBO APONGEZA MASHINDANO YA YST, AGUSIA YANAVYOTATUA CHANGAMOTO

  Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amewapongeza wanafunzi walioshinda katika mashindano ya wanasayansi vijana marufu Young Scientists Tanzania (YST) kwani yanasaidia kupata teknolojia ambazo zitatumika kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa   utoaji wa tuzo kwa washindi wa YST Profesa Mkumbo…

Read More

Nkoba: TFS mmepiga hatua kubwa katika uhifadhi wa misitu, ukuzaji utalii Tanzania

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Utalii, Nkoba Mabula, amepongeza mchango mkubwa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kukuza utalii ikolojia na kuimarisha juhudi za uhifadhi wa mazingira nchini.  Akizungumza wakati wa ziara yake kwenye maeneo yanayosimamiwa na TFS jijini Tanga Septemba 23 2024, Mabula alisisitiza umuhimu wa…

Read More