Micho: Simba hii inacheza na yeyote

KOCHA wa zamani wa Yanga, Milutin ‘Micho’ Sredojevic, ameipongeza Simba kwa kiwango kizuri ilichokionyesha katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli huku akibainisha kwamba inaweza kucheza na mpinzani yeyote na kufanya vizuri. Micho ametoa kauli hiyo muda mfupi baada ya Simba kuichapa Al Ahli Tripoli mabao 3-1 kwenye…

Read More

Rais Samia: Tusiwakubali wanaotugawa kwa siasa

Songea. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuwakataa wanaotaka kuwagawa kwa sababu za kisiasa au tofauti za kiitikadi. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Septemba 23, 2024 wakati akifunga Tamasha la Tatu la Kitaifa la Utamaduni lililofanyika katika Uwanja wa Majimaji Songea mkoani Ruvuma. Amewasisitiza Watanzania kuwa ni wamoja, wenye nia moja, hivyo hawana…

Read More

Wakimbizi wa Rohingya waelezea hali mbaya ya ghasia Myanmar – DW – 23.09.2024

Makundi mengine ya haki za binadamu yanasema watu wa jamii hiyo walilazimishwa kujiunga na jeshi la Myanmar hali iliyochochea mashambulizi ya kulipa kisasi kutoka kwa jeshi la ukombozi la wanamgambo wa Arakan.  Katika matukio mabaya yaliyowahi kurekodiwa, Shirika linalofuatilia Haki za Binadamu la Fortify lilisema mwezi uliopita kuwa, waasi wa Arakan waliwauwa zaidi ya wanaume…

Read More

TMDA yaonya wanaosafirisha dawa za binadamu kwa matenga

Mtwara. Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Kusini imekamata dawa zenye thamani ya zaidi ya Sh200,000 wilayani Masasi Mkoa wa Mtwara zilizokuwa zikisafirishwa kwa pikipiki ndani ya matenga, kinyume cha sheria. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Septemba 23, 2024 baada ya kumkamata mkazi wa Masasi aliyekuwa akisafirisha dawa hizo, Mkaguzi wa TMDA…

Read More

Hatua Zinazoendeshwa na Vijana Zinahitajika Kukabiliana na Migogoro ya Nyuklia na Hali ya Hewa – Masuala ya Ulimwenguni

Dk. Tshilidzi Marwala, USG na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa, na Bi. Kaoru Nemeto, Mkurugenzi wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa wakati wa majadiliano 'Kujenga Mustakabali: Ushirikiano wa Kinyuklia juu ya Migogoro ya Nyuklia na Hali ya Hewa.' Credit: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumatatu, Septemba 23,…

Read More