Maofisa habari EA wapewa mbinu kukabili habari potofu mitandaoni

Arusha. Serikali imewapa kibarua maofisa uhusiano ya umma katika ukanda wa Afrika Mashariki kukabiliana na ongezeko la habari potofu, hasa kwenye mitandao ya kijamii zinazosababisha taharuki. Ili kufanikisha hilo, imewataka maofisa hao kukumbatia mapinduzi ya kidijitali, hususan matumizi ya teknolojia na Tehama, ili wabaini habari hizo haraka kabla hazijasambaa na kuleta madhara katika jamii. Hatua…

Read More

Nyuki watajwa chanzo soko la Machinga Mwanza kuteketea

Mwanza. Soko la Machinga la Ukwaju lililopo eneo la Igoma Kata ya Kishiri jijini Mwanza, linalokadiriwa kuwa na zaidi ya wafanyabiashara 70 na vibanda zaidi ya 3,000, limeteketea kwa moto. Inadaiwa soko hilo limeteketea leo Jumatatu Septemba 23, 2024 kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 5 asubuhi, huku chanzo cha moto kikidaiwa kuwa ni vijana…

Read More

Mudathir achekelea rekodi Yanga | Mwanaspoti

BAADA ya kutupia bao moja na kutoa pasi mbili za mwisho zilizozaa mabao mawili kati ya sita yaliyofungwa na Yanga Jumamosi iliyopita, kiungo wa timu hiyo, Mudathir Yahya ameonekana kuridhishwa na rekodi anazoendelea kuziweka kikosini hapo. Kiungo huyo ambaye alijiunga na Yanga katika usajili wa dirisha dogo msimu wa 2022-2023, Jumamosi iliyopita alikuwa sehemu ya…

Read More

Rais Samia ziarani mkoani Ruvuma

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan ametembelea Makumbusho ya Vita vya Maji Maji iliyopo Mjini Songea mkoani Ruvuma kwa lengo la kutoa heshima ya kumbukizi ya mashujaa wa vita ya Majimaji vilivyoanza mwaka 1905-1907, huku akiweka shada la maua katika kaburi la Chifu Msaidizi wa Wangoni Nduna Songea Mbano. Rais Samia ameanza ziara ya…

Read More

Yanga yashusha mshambuliaji | Mwanaspoti

YANGA Princess katika kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao imemshusha mshambuliaji kutoka CBE ya Ethiopia, Aregash Kalsa. Huyo anakuwa mchezaji wa pili kutoka Ethiopia kusajiliwa na Yanga Princess msimu huu baada ya siku chache zilizopita kumtambulisha Arieth Udong. Hadi sasa mshambuliaji huyo bado hajatambulishwa rasmi kikosini hapo lakini wiki ya pili sasa anafanya mazoezi na…

Read More