Serikali yajitosa matibabu aliyekosa Sh200,000 za upasuaji

Mbeya. Siku moja baada ya Mwananchi kuchapisha habari kuhusu Pascolina Mgala (20), mwenye uvimbe mguuni aliyeteseka kwa miaka tisa akiwa ndani, Serikali kupitia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe, imejitokeza kusaidia matibabu yake. Pia wadau mbalimbali kupitia makundi ya WhatsApp ndani ya Mkoa wa Songwe, wameguswa na hali ya Pascolina na kuanzisha…

Read More

Dhamana ya ‘Boni Yai’ yakwama, kuendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dar es Salaam, Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi wa pingamizi la dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai kutokana na kutokuwepo mahakamani. Jacob, mkazi wa Msakuzi, mfanyabiashara na mwanasiasa anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uongo kwenye mitandao, kinyume cha Sheria…

Read More