Kocha Azam FC aingiwa ubaridi 

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi ameeleza masikitiko yake kufuatia matokeo ya timu hiyo katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma ambako walivutwa shati na wenyeji wao. Taouussi amesema walikuwa na matarajio ya kushinda mchezo, lakini mambo hayakuwa vile ambavyo walitarajia.  “Kiukweli tumeumizwa na matokeo. Tulikuja…

Read More

Billioni 14.5 kusambaza umeme katika vitongoji 135 Ruvuma

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleleza mradi wa shilingi bilioni 14.56 wa kusambaza umeme katika vitongoji 135 Mkoani Ruvuma utakaonufaisha Kaya 4,455 mkoani humo.   Mhandisi Msimamizi wa Miradi ya Umeme REA Kanda ya Kusini, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha hayo Septemba 30, 2024 Mkoani Ruvuma mbele ya Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Kanali…

Read More

Beki KMC asimulia bato lake na Boka

BEKI wa kulia wa KMC, Abdallah Said ‘T Lanso’ ameeleza ugumu wa kumkaba mlinzi wa Yanga, Chadrack Boka kwamba inahitaji kutumia akili na umakini wa hali ya juu. KMC jana ilikuwa ugenini katika Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni mwendelezo wa michezo ya Ligi Kuu Bara ikipoteza mchezo dhidi ya Yanga kwa bao 1-0 lililofungwa…

Read More

SmartLab and EIT Climate-KIC Announce Partnership to Launch Adaptation and Resilience ClimAccelerator Program in Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania— SmartLab and Climate-KIC, Europe’s leading innovation agency, have partnered to launch the second edition of the Adaptation and Resilience ClimAccelerator Program in Tanzania.  ClimAccelerator is a global program for start-ups to innovate, catalyze and scale the potential of their climate solutions. The Adaptation & Resilience ClimAccelerator in Tanzania aims to support…

Read More

Bares ajivunia mabeki Mashujaa | Mwanaspoti

Kocha Mkuu wa Mashujaa, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema alikiandaa kikosi chake kuvuna pointi tatu dhidi ya Azam FC, lakini moja waliyoipata ni uzembe wa washambuliaji. Mashujaa imecheza mechi tano ikishinda mbili dhidi ya Dodoma Jiji kwa bao 1-0, Coastal Union 1-0, sare tatu dhidi ya Azam, Tanzania Prisons 0-0 na Pamba Jiji 2-2. Amesema mchezo…

Read More

SBL WASHIRIKIANA NA CHUO CHA TAIFA CHA UTALII KUBORESHA UJUZI WA UKARIMU KWA VIJANA WA KITANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii, Dr. Florian Mtey (Kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Mahusiano wa SBL, John Wanyancha (Kulia) wakisaini hati za makubaliano za ushirikiano huo. Sherehe zilizofanyika chuoni hapo tarehe 30/Septemba/2024        Dar es Salaam, 30 Septemba 2024 – Leo, zaidi ya wanafunzi 100 wa ukarimu watanufaika na fursa za mafunzo…

Read More