Sheva tumaini jipya Mbuni FC

KOCHA Mkuu wa Mbuni, Leonard Budeba amesema, licha ya kikosi hicho kufanya usajili bora kwa msimu huu ila moja ya nyota anayempa matumaini makubwa ya kufanya vizuri ni mshambuliaji, Miraji Athuman ‘Sheva’ kutokana na uzoefu aliokuwa nao. Sheva amejiunga na timu hiyo msimu huu huku akikumbukwa zaidi baada ya kutamba na klabu mbalimbali nchini zikiwemo…

Read More

KenGold: Yanga? Wanafungika haoo! | Mwanaspoti

UKISIKIA mkwara basi ndio huu. Pamoja na kikosi cha Yanga kuonekana kuwa tishio hasa baada ya kucheza mechi saba tofauti za kimashindano na kufunga jumla ya mabao 24 na yenyewe kuruhusu bao moja, KenGold haijashtuka na kudai watetezi hao wa Ligi Kuu wanafungika tu wakati wanajiandaa kuwapokea. Yanga iliyotoka kuifumua CBE SA ya Ethiopia kwa…

Read More

Watoto 1,500 wenye matatizo ya moyo wasubiri msaada

* Kikwete kuongoza harambee matibabu yao mwezi ujao Mwandishi Wetu RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza harambee ya kuchangia matibabu ya watoto 1,500 wanaougua magonjwa mbalimbali ya moyo ili wapate matibabu kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Naibu Spika…

Read More

Bao la CAF lampa mzuka Abuya

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mkenya Duke Abuya juzi usiku alitokea benchi kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kisha kufunga bao moja kati ya sita yaliyoizamisha CBE SA ya Ethiopia na kumpa mzuka mwingi nyota huyo aliyesema anaona safari ya mabao ndo imeanza sasa kimataifa. Abuya aliyetokla kufunga bao wakati timu ya taifav ya Kenya, Harambee…

Read More

Rais Samia aanza ziara Ruvuma leo

 Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Jumatatu anaanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma  Jumatatu ambayo ataihitimisha siku ya tarehe 28 mwezi huu. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Ahmed Abbas Ahmed,  aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa Rais Samia akiwa mkoani humo atafanya mambo makubwa matatu ambayo ni kufunga tamasha la tatu la taifa…

Read More

Shiza Kichuya awataja Chasambi, Balua

WINGA wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya amesema zama alizokuwa nazo za ubora kwa sasa zimeisha na anawaona Ladack Chasambi na Edwin Balua wanaokipiga Simba kuwa ndio wachezaji wazuri wanaoweza kurithi ufalme wake, iwapo tu kama watapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwani wanajua. Kichuya aliyewahi kutamba na Mtibwa Sugar, Simba na Namungo mbali na…

Read More

Mtanzania ajihakikishia namba Ulaya | Mwanaspoti

BEKI wa kati Mtanzania, Noela Luhala anayeitumikia ASA Tel Aviv inayoshiriki Ligi ya Wanawake, Israel ni kama amejihakikishia namba kwenye kikosi cha timu hiyo akicheza mechi tano kwa dakika zote 90. Beki huyo alisajiliwa hivi karibuni akitokea Yanga Princess ambako nako alikuwa ingia toka eneo la beki. Alianza kwenye michuano ya Athena Cup akicheza mechi…

Read More