
Serikali, TMDA waonya wanaotumia ARV kunenepesha mifugo, yaanza uchunguzi
Dar es Salaam. Serikali na Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba Tanzania (TMDA) zimetoa tahadhari ya matumizi ya dawa za kufubaza makali ya virusi vya Ukimwi (ARVs) kunenepesha mifugo, ikitajwa kuwa ni athari kwa afya ya jamii. Mbali na usugu unaosababishwa na ARV, utafiti uliofanyika mwaka 2018 ulionyesha kuwa asilimia 90 ya wafugaji wanatumia dawa za…