UJENZI WA KAMPASI YA UDSM LINDI WASHIKA KASI

NA EMMANUEL MBATILO, LINDI UJENZI wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Ndaki ya Kilimo Kampasi ya Lindi unaoendelea kujengwa Ngongo Manispaa ya Lindi kupitia mradi wa HEET umefikia asilimia 23 ikiwa ni miezi mitatu tangu kuanza kwa ujenzi. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni katika mradi huo, Naibu Mratibu wa Mradi wa Elimu…

Read More

Mapokezi ya Hapi Kibiti babu kubwaaa..

Mwenye macho haambiwi tazama! haya ni zaidi ya mahaba na mapenzi kwa chama cha mapinduzi kupitia Jumuiya ya wazazi yanayoineshwa na wanaccm wa Wilaya ya Kibiti mkoani pwani wakimpokea Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ndg. Ally Hapi baada ya kuwasili wilayani humo kwa ziara akiambatana na viongozi mbalimbali yenye lengo…

Read More

Kero sita zamsubiri Rais Samia Ruvuma

Dar/Songea. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akianza ziara yake ya kikazi mkoani Ruvuma kesho, Jumatatu, Septemba 23, 2024, kuna masuala sita makubwa yanayowakabili wananchi wa mkoa huo ambayo yanatarajiwa kuwasilishwa kwake. Miongoni mwa masuala hayo ni kero ya ushuru wa mageti, bei ya mahindi, mbolea, madeni ya wazabuni, upatikanaji wa huduma za afya, na maji…

Read More

Mchengerwa awatangazia kiama watakaochezea mikopo ya asilimia 10

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema hatosita kuwachukulia hatua za kinidhamu na kisheria watakaojihusisha na ubadhirifu wa fedha za mikopo ya asilimia 10 zinazotolewa na halmashauri nchini. Amewataja maofisa maendeleo ya jamii, wasimamizi wa fedha, waratibu wa mikopo, wahasibu na maofisa…

Read More

Matukio ya ukatili kwa watoto yaongezeka Geita

Geita. Matukio ya ukatili wa watoto hususan ubakaji yamezidi kushamiri mkoani Geita ambapo takwimu zilizotolewa na Jeshi la Polisi zinaonyesha matukio hayo yameongezeka kutoka 71 mwaka 2023 hadi kufikia 91 mwaka 2024. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya “Tuwaambie kabla hawajaharibiwa” iliyoandaliwa na Jeshi la Polisi ikilenga kutoa elimu kwa wanafunzi wanaojiunga na shule…

Read More