Mwili wa mtoto uliokutwa kwenye mashamba ya miwa Kilombero wazikwa

Kilombero. Mwili wa mtoto Rashmi Abdallah (5), mkazi wa Kijiji cha Katurukila, wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, uliokutwa kwenye mashamba ya miwa wilayani humo, umezikwa katika makaburi ya familia kijijini hapo. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Septemba 22, 2024, Mwenyekiti wa Kijiji cha Katurukila, Jela…

Read More

Ninja nje wiki moja, akosa Kombe la Shirikisho

BEKI wa FC Lupopo ya Congo, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema atakuwa nje kwa wiki moja akiukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos ya Angola. Beki huyo wa zamani wa Yanga kwenye mkondo wa kwanza hakuwepo kwenye kikosi hicho kilichopoteza mchezo dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola kwa bao 1-0 kutokana na…

Read More

Aliyekatisha masomo na kufanya kazi za ndani arejea shule

Arusha. Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Songambele, Teddy Majuto, aliyejikuta akisitisha masomo na kwenda kufanya kazi za ndani kutokana na kukosa mahitaji ya msingi ikiwemo sare za shule na madaftari, amerejeshwa shuleni kwa msaada wa wadau wa maendeleo. Teddy ambaye ni mtoto wa kwanza kati ya watatu wa familia yake, wazazi…

Read More

TANZANIA NCHI YA MFANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA SEKTA BINAFSI, JAPAN, WAKULIMA WADOGO WA KAHAWA

SHIRIKA la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD) kwa ushirikiano wa Wizara ya Kilimo, Misitu na Uvuvi ya Japan (MAFF) na sekta binafsi chini ya makampuni makubwa ya Japan yanayojishughulisha na kahawa ya UCC Holdings na Marubeni; zilizindua utekelezaji wa Mpango wa Ushirikiano kati ya sekta binafsi na wakulima wadogo wa zao la kahawa ambapo,…

Read More

Ninja nje wiki moja, aikosa Ligi ya Mabingwa

BEKI wa FC Lupopo ya Congo, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema atakuwa nje kwa wiki moja akiukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos ya Angola. Beki huyo wa zamani wa Yanga kwenye mkondo wa kwanza hakuwepo kwenye kikosi hicho kilichopoteza mchezo dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola kwa bao 1-0 kutokana na…

Read More

VIJANA SHIKAMANENI KULINDA AMANI YA NCHI YETU- DKT. BITEKO

 Asema Teknolojia Isitumike kama Jukwaa la Uhalifu  Serikali Yaendelea Kushirikisha Vijana katika Masuala ya Maendeleo  Asisitiza kuwa Kijana Bora Hujenga Taifa Bora la Kesho Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa rai kwa vijana nchini kuwa na mshikamano na kudumisha…

Read More