Winga Mtanzania asimulia bato lake na Chomelo

WINGA wa Sisli Yeditepe inayoshiriki Soka la watu wenye Ulemavu Uturuki, Mtanzania Shedrack Hebron amesema wanapokutana wabongo wawili kuna  bato sio la kawaida. Hebron anacheza ligi moja na Mtanzania mwenzake, Ramadhan Chomelo anayeichezea Konya na wakikutana wakiwa na timu zao inakuwa na bato la kipekee. Nyota huyo wa timu ya Taifa ya Walemavu ‘Tembo Warriors’…

Read More

MNDEME AHITIMISHA ZIARA YA MIKOA MITANO KWA KISHINDO

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme (katikati mbele) akiwasili mkoani Njombe kwa ajili ya kutoa elimu na uhamasishaji juu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia, Septemba 21,2024. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe. Kissa Kasongwa na kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe….

Read More

Ukosefu wa Sh200,000 ya matibabu unavyomtesa Pascolina

Songwe. Kwa miaka tisa sasa, Pascolina Mgala, binti mwenye miaka 20 kutoka kijiji cha Nambinzo wilayani Mbozi, mkoani hapa amekuwa akiishi na uvimbe wa ajabu mguuni baada ya kupata jeraha dogo lililotokana na kujikwaa mwaka 2015. Pamoja na juhudi mbalimbali za kutafuta matibabu, amekosa msaada wa Sh200,000 kwa ajili ya operesheni ya pili na kuendelea…

Read More

Kriketi T20: Tanzania yailiza Mali, Ghana Malawi safi

INAWEZA ikaingia katika vitabu vya rekodi kama mechi rahisi kuliko zote Tanzania imewahi kushinda katika mchezo wa kriketi baada ya kuifunga Mali kwa wiketi 10 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya kufuzu kombe la dunia kwa kriketi ya mizunguko 20 iliyopigwa katika uwanja wa Dar Gymkhana mwishoni mwa juma. Mali wakiwa ni wageni kabisa…

Read More

Mbwana Makata akiri mambo magumu

WAKATI mashabiki wa Prisons wakishangazwa na matokeo ya sare nne mfululizo, kocha mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makata amesema ligi ni ngumu na haina cha nyumbani na wala ugenini, huku akipongeza mabeki wake. Prisons imeanza kwa ugumu Ligi Kuu baada ya kufululiza sare nne bila kupata bao wala ushindi na kuwaamsha mashabiki wakieleza matokeo si…

Read More

Vijana wahimizwa kubuni programu kurejeleza plastiki

Dar es Salaam. Vijana nchini Tanzania wamehimizwa kuwa wabunifu kuunda programu na zana mbalimbali kama suluhisho za kurejeleza plastiki ili kupambana na uchafuzi wa mazingira. Aidha, taasisi za Serikali, sekta binafsi, kampuni na wadau wamehimiza pia kuongeza juhudi za ushirikiano kushughulikia tatizo hilo. Wito huo umetolewa hivi karibuni jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa…

Read More

Huu hapa ujumbe wa Mbowe kwa waandamanaji kesho

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha  Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesisitiza maandamano ya maombelezo na amani yaliyopangwa kufanyika kesho Jumatatu Septemba 23, 2024 yapo palepale huku akitaja njia zitakazotumika. Septemba 11, 2024 Chadema ilitangaza maandamano hayo yaliyopangwa kufanyika Septemba 23 kulaani matukio ya watu kutekwa na mauaji yakiwemo ya makada wake, hata…

Read More