Awesu aibua jambo kipigo Dodoma

KIUNGO wa Simba, Awesu Awesu amefunguka siri ya ushindi wa timu yake dhidi ya Dodoma Jiji kuwa ni kufanyia kazi maagizo aliyopewa na kocha wa timu hiyo Fadlu Davids. Ipo hivi; Awesu aliingia kipindi cha pili dhidi ya Dodoma Jiji baada ya Simba kumaliza dakika 45 za kipindi cha kwanza bila ya kufungana na wapinzani…

Read More

Tuko tayari kwa lolote – DW – 30.09.2024

Hii ni hotuba ya kwanza tangu shambulio la Israel lilipomuua kiongozi wa kundi hilo Hassan Nasrallah, ambaye bado haijulikani lini atazikwa, baada ya mwili wake kutambuliwa Jumamosi. Naim Qaseem amesema wako tayari kwa lolote hata kwa mapambano ya ardhini na vikosi vya Israel na kwamba wataendeleza mwongozo ulioachwa na Nassrallah katika vita hivyo. Kwa upande…

Read More

Clara ataka rekodi Saudia | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Al Nassr inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Saudia, Clara Luvanga amesema msimu huu anataka kuweka rekodi mpya ya kufunga mabao 20. Mtanzania huyo ni msimu wake wa pili kuichezea Al Nassr ambayo pia anatumikia nyota wa Ureno, Cristian Ronaldo anayekipiga timu ya wanaume. Msimu uliopita Luvanga akiwa na mabingwa hao wa Saudia aliifungia…

Read More

Watu sita wafariki dunia Rwanda kufuatia mripuko wa Marburg – DW – 30.09.2024

Kupitia mtandao wa kijamii wa X, waziri wa afya nchini humo Sabin Nsanzimana, amesema jumla ya watu  26 wamethibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo wa ambao awali ulijulikana kama homa ya Marburg (MHF) . Nsanzimana amesema hadi kufikia sasa, watu 20 wamethibitishwa kupata maambukizi ya ugonjwa huo huku wengine sita wakifariki dunia. Soma pia:Tanzania yatangaza kudhibitiwa kwa…

Read More

Zahera aanza kunogewa Namungo | Mwanaspoti

BAADA ya Namungo kupata ushindi wa bao 1-0 juzi dhidi ya Tanzania Prisons, kocha mkuu wa timu hiyo Mkongomani, Mwinyi Zahera amesema, ameridhika na viwango vya wachezaji walivyovionyesha huku akiwataka kuendelea kupambana zaidi ya hapo. Zahera aliyekalia kuti kavu la kutimuliwa kikosini humo, amezungumza hayo baada ya timu hiyo kupata ushindi huo ukiwa ni wa…

Read More