Lina PG Tour… Sasa ni mbio za farasi wawili

KUKOSEKANA kwa nyota watatu waliong’ara  katika raundi ya tatu ya Lina PG Tour jijini Arusha kunaifanya raundi ya nne ya michuano  hiyo inayoanza masaa 96 yajayo mjini Moshi kuwa mbio za farasi wawili kwa upande wa gofu ya ridhaa. Jay Nathwani alyeshinda raundi ya tatu kwa gofu ya ridhaa na Aliabas Kermali aliyemaliza wa pili…

Read More

MKOA WA LINDI KUFUFUA NA KUANZISHA VIWANDA VIPYA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na kusikiliza kero na maoni ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa Lindi wakati  akihitimisha ziara ya siku sita mkoani humo yenye kauli mbiu isemayo ‘Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone’ inayolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na…

Read More

Kada wa CCM anayedaiwa kumwagiwa tindikali ahamishiwa KCMC

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Idrissa Makishe (38), anayedaiwa kumwagiwa kimiminika kinachosadikiwa kuwa ni tindikali, amehamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kwa matibabu zaidi ya kibingwa. Kada huyo ambaye ni mkazi wa Njoro, Manispaa ya Moshi na dereva bodaboda, alikutwa na madhila hayo usiku wa Septemba…

Read More

Sare ya Mashujaa yamtibua Kopunovic  

KOCHA wa Pamba Jiji, Goran Kopunovic, amegeuka mbogo kufuatia nyota wa timu hiyo kushindwa kulinda mabao mawili iliyoyapata kipindi cha kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Goran alisema kuwa hajui kilichotokea katika kipindi cha pili, ambako waliongoza kwa mabao 2-0 hadi kufikia dakika…

Read More

Undani wa siku ya kimataifa ya kutembea bila gari

Ikiwa unamiliki gari kwa muda mrefu siku likipata hitilafu ukalazimika kuliacha na kutumia usafiri wa umma, bila shaka utapata usumbufu na karaha. Hilo litakufanya ulitengeneze gari haraka ili uendelee na maisha ya kutosukumana na watu kwenye usafiri wa umma, kuwahi kazini na pengine kumaliza mizunguko yako ya kutafuta maisha kwa wakati. Ila leo ni siku…

Read More

Mjengwa atambia mafaza wa Yanga, Simba

KOCHA wa Bigman FC, Salhina Mjengwa amesema katika championship wao ni kama ‘Underdog’ lakini iwapo watapata nafasi ya kupanda Ligi Kuu Bara wataitumia vyema, huku akisifia ubora wa kikosi hicho kutokana na mastaa wengi wa ndani na nje ya nchi. Timu hiyo ambayo zamani ilikuwa inafahamika Mwadui FC ya mkoani Shinyanga, ilianza kwa sare ya…

Read More

Mbio za magari sasa milima ya Uluguru

HIFADHI ya misitu ya Mkundi mkoani Morogoro itakuwa ndiyo shuhuda wa raundi ya tatu ya ubingwa wa mbio za magari kitaifa zitakazofanyika mkoani humo mwanzoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu. Raundi ya tatu ya ubingwa wa mbio za magari kitaifa  itapigwa mkoani Morogoro tarehe 12 na 13 mwezi wa kumi  kiasi cha mwezi mmoja baada…

Read More

Mbowe: Maandamano yatakuwepo kesho kama tulivyopanga

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema maandamano waliyopanga kufanya kesho Septemba 23, 2024 yatakuwepo kama ilivyopangwa huku ikisisitiza kuwa yatakuwa ya amani na maombolezo ya viongozi wao waliotoweka na kuuawa. Mbowe ameyasema hayo leo Jumapili Septemba 22, 2024 akizungumza na wanachama wa chama hicho kupitia mdahalo uliofanyika kwenye mtandao wa X…

Read More