WAZIRI GWAJIMA APEWA TUZO NA JAMII FORUMS

📌 Aahidi kuendelea kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi. 📌 Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kumuamini na kumpa nafasi na fursa ya kutumikia jamii. Na WMJJWM-DAR ES SALAAM Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametunukiwa Tuzo maalum na Taasisi ya Jamii Forums kama kiongozi anayepokea…

Read More

Mbeya City yaanza visingizio Championship

SARE ya kufungana mabao 2-2, iliyoipata Mbeya City juzi dhidi ya Bigman FC katika mchezo wa Championship, imeonekana kuwavuruga vigogo wa timu hiyo huku kocha msaidizi, Baraka Kibingu akitoa lawama kwa mabeki na washambuliaji kikosini. Kibingu alisema, katika mchezo huo makosa mengi yalionekana eneo la beki walioruhusu mabao mepesi na straika kushindwa kutumia nafasi walizopata…

Read More

ECCT YAITAKA JAMII KUWEKA KIPAUMBELE WATOTO KUJIFUNZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA SHULENI

TAASISI  inayojishughulisha na masuala ya Mazingira ‘Environmental  Conserarvation Community of Tanzania (ECCT) imeitaka Jamii  kuweka kipaumbele Cha utoaji elimu kwa watoto na vijana mashuleni juu ya masuala ya utunzaji wa mazingira kwa lengo la vizazi endelevu vinavyothamini umuhimu wa mazingira. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Mtendaji wa Taasisi hiyo Lucky Michael mwishoni mwa wiki Jijini…

Read More

MACHIFU WAWANYOSHEA KIDOLE WANAMDHARAU RAIS

SEHEMU ya Machifu wakiwa katika Tamasha la Kitaifa la tatu la Utamaduni uwanja wa Majimaji Manispaa ya Songea. Na Mwandishi Wetu, RUVUMA MACHIFU wa makabila mbalimbali nchini wametoa tamko la kuwaomba watanzania kutokubali kuvuruga amani iliyopo na kumheshimu Rais Samia Suluhu Hassan ili aendelee kuwaletea maendeleo. Aidha, wamemshukuru Rais Samia kwa kutambua umuhimu wao na…

Read More

Hii hapa asili ya utani wa makabila

Unaweza kuwa na hisia mseto unapoona watu wa kabila moja na jingine wakitoleana maneno ambayo wakati mwingine, huleta maudhi na  ghadhabu japo watu hao utaona wakifurahi, Huo ndio hutafsiriwa kuwa utani wa jadi, ambao huruhusu watu kufanyiana dhihaka na kejeli kwa kutumia njia mbalimbali kama  nyimbo,  hadithi, misemo na hata vitendo. Chimbuko la utani baina…

Read More

MONGELLA ASISITIZA UMUHIMU KUZINGATIA KATIBA, UTUNZAJI SIRI

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, ndugu John Mongella, amewasili Kigoma na kufanya kikao – kazi na viongozi waandamizi na watumishi wa CCM mkoani humo, Septemba 21, 2024. Katika kikao-kazi hicho pamoja na mambo mengine, ndugu Mongella amesisitiza suala la kuendelea kujenga umoja na mshikamano, utunzaji wa siri za vikao, kusimamia Katiba…

Read More