Michepuko janga lingine kwa wanandoa

Dar es Salaam. Umedumu kwa muda gani kwenye ndoa au uhusiano wako? Katika maisha yote umewahi kuchepuka? Nini kilisababisha ufanye hivyo? Maswali hayo yanagusa sehemu ya tabia za wanaume wengi walio kwenye ndoa au mahusiano yaliyodumu, ambao aghalabu hujikuta wakishiriki mapenzi na wenza wa ziada ‘michepuko.’ Hali hiyo, inawafanya baadhi yao kujikuta wakishindwa kuchomoka katika…

Read More

MACHIFU WATAKA AMANI NA MAADILI YALINDWE

  Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Chifu Antonia Matalu akizungumza kwenye mjadala wa Machifu kuhusu mustakabali wa Tanzania kwenye masuala ya amani, mila na desturi, katika mkutano uliofanyika mjini Songea MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed akisalimiana na Machifu wakati wa Tamasha la Kitaifa la tatu la Utamaduni litakalofanyika uwanja wa Majimaji Manispaa…

Read More

Noble hana kinyongo na benchi Fountain

KIPA mpya wa Fountain Gate Mnigeria, John Noble amesema licha ya kutocheza mchezo wowote wa Ligi Kuu akiwa na kikosi hicho kilichomsajili msimu huu kutoka Tabora United, bado hana wasiwasi na nafasi yake kikosini, huku akisifu kiwango bora kinachoonyeshwa na kipa mwenzake, Fikirini Bakari. Noble aliyejiunga na Fountain Gate msimu huu akitokea Tabora United, ameshindwa…

Read More

Dau la Elie Mpanzu Simba

KAMA ulidhani ni utani, basi utakuwa unakosea, kwani Wekundu wa Msimbazi, Simba wameamua msimu huu kufanya yao na wakati wowote watamtangaza winga mpya, Elie Mpanzu ambaye inadaiwa amevuta mkwanja wa maana kutoka kwa bilionea wa klabu hiyo, Mohamed ‘MO’ Dewji ili kumwaga wino. Mwanaspoti ambalo lilikuwa la kwanza kuripoti juu ya dili la Mkongomani huyo…

Read More

Fei Toto amkingia kifua Prince Dube

KIKOSI cha Yanga jana usiku kilikuwa uwanjani kurudiana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku mashabiki wakiwa bado wanamuota Prince Dube kwa kitendo cha kupoteza nafasi nyingi kwenye mchezo wa kwanza ugenini, sasa kiungo mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo anayekipiga Azam FC, Feisal Salum…

Read More

Yanga Mwendo mdundo! | Mwanaspoti

WABABE wa soka nchini, Yanga usiku wa jana ilikuwa visiwani Zanzibar kumalizana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikiwa na rekodi tamu ya kucheza michezo sita tofauti na kimashindano na kufunga mabao 18 na kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi amepiga mkwara…

Read More

Fadlu ala kiapo Kwa Mkapa, Walibya kazi wanayo

SIMBA inatupata karata muhimu leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya ikihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akiapa hakuna kingine cha kuthibitisha ubora wao ila kushinda na kusonga mbele. Simba inarudiana na Walibya…

Read More

Mawazo mapya na ya kijasiri yanastawi kuelekea Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Wakati Ujao – Masuala ya Ulimwenguni

Kuifanya dunia kuwa ya haki, salama na endelevu zaidi kwa wote ilikuwa katikati ya shabiki wa mawazo shupavu, mapya yaliyojitokeza katika kipindi chote cha mwisho cha Mkutano wa Siku za Hatua za Baadayena jumbe za matumaini na mabadiliko kutoka kwa vijana wapenda mabadiliko hadi UN Katibu Mkuu Antonio Guterres. “Nikiangalia nje, naona viongozi wa ulimwengu….

Read More

Bomu mkononi – Sehemu ya 9

KUNGWI wangu akanitazama kisha akaniuliza. “Inakuwaje unatangulia kulala, tena unajifanya unakoroma wakati mume wako anaoga. Wakati mume wako anapanda kitandani ana mahitaji yake kwako, wewe umeshalala, itakuwa ni haki kweli?” “Sasa kesho akapata mwanamke wa nje ambaye anamjali na kumuenzi utamlaumu?” “Hapo ni pa kujilaumu mwenyewe.” “Ila jambo moja zingatia sana, mpe mume wako kila…

Read More