
DC KARATU AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAKAZI LA MPIGA KURA.
Na. Vero Iganatus Mkuu Wa Wilaya Ya Karatu Mhe. Dadi Kolimba awataka wanchi wa wilaya ya Karatu kutokeza kujiandikisha katika daftari la wakazi la wapiga kura zoezi ambalo linatarajiwa kuanza tarehe 11/10/2024 hadi tarehe 20/10/2024. Mhe.Kolimba amesema zoezi hilo ni muhimu sana kwa wakazi wa wilaya ya Karatu kwani litawapa fursa ya kuwachagua viongozi…