DC KARATU AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAKAZI LA MPIGA KURA.

  Na. Vero Iganatus Mkuu Wa Wilaya Ya Karatu Mhe. Dadi   Kolimba awataka wanchi wa wilaya ya Karatu kutokeza kujiandikisha katika daftari la wakazi la wapiga kura zoezi ambalo linatarajiwa kuanza tarehe 11/10/2024 hadi tarehe 20/10/2024.  Mhe.Kolimba amesema zoezi hilo ni muhimu sana kwa wakazi wa wilaya ya Karatu kwani  litawapa fursa ya kuwachagua viongozi…

Read More

TASSIM yaandaa maonyesho ya viwanda vidogo Dodoma

 Na  Mwandishi Wetu SERIKALI imewaalika wananchi na wadau mbalimbali kuhudhuria mkutano wa kukusanya maoni kuhusu Sera mpya ya biashara ndogo ndogo (SMEs) utakaofanyika mkoani Dodoma . Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. John  Simbachawene, wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa siku ya viwanda vidogo vidogo (TAMISID)….

Read More

Zahanati Ngorongopa kuwapa kufuta machungu ya wananchi

Liwale. Changamoto ya wakazi wa kijiji cha Ngorongopa ya kutembea umbali mrefu zaidi ya kilomita10 kutafuta huduma ya afya katika kijiji cha Nangirikiti, inakwenda kumalizika mara baada ya kupata Sh50milioni kutoka serikalini kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika kijiji hicho. Leo Jumamosi Septemba 21, 2024 Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo ameweka…

Read More

CCM ‘yawaka’ wanaopotosha hotuba ya Rais Samia

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinaunga mkono hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuhusu kukemea vitendo vya utekaji na mauaji aliyoitoa mkoani Kilimanjaro, huku kikiwajia juu wanaoipotosha. Jumanne Septemba 17, 2025 akifunga mkutano mkuu wa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi na miaka 60 ya jeshi hilo, Rais Samia alilaani vitendo vya…

Read More

Dk Mpango ‘awashukia’ watumishi wa Mungu

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, ametoa rai kwa viongozi wa dini nchini na barani Afrika kujikita katika misingi ya kidini badala ya hali inayoshuhudiwa sasa, baadhi wakiondoana kwenye nyumba za ibada wakigombea madaraka na rushwa. Amesema pia wamekuwa wakituhumiana kwa ushirikina, matumizi mabaya ya fedha na mali za kanisa, kuajiriana kwa upendeleo na…

Read More

Maafande Tanzania Prisons mambo bado

MAMBO bado hayajawanyookea maafande wa Tanzania Prisons baada ya leo kucheza mechi ya nne mfululizo ya Ligi Kuu Bara bila kupata ushindi wala kufunga bao mbele ya Dodoma Jiji. Katika mchezo huo mkali uliopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, Prisons itajilaumu kwa kushindwa kutoka na ushindi nyumbani kutokana na kutengeneza nafasi kadhaa zilizopotezwa na…

Read More

Mzizima Dabi kupigwa Zenji | Mwanaspoti

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya Simba uliopangwa kufanyika Septemba 26, mwaka huu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, kwa sasa utachezwa Uwanja wa New Complex Amaan Zanzibar kuanzia saa 2:30 usiku. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi (TPLB) jana kupitia kwa Ofisa Habari na Mawasiliano,…

Read More

e-Ardhi KUIMARISHA UTAWALA BORA NA UWAJIBIKAJI

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha Mfumo wa e-Ardhi ili kuimarisha utawala bora na uwajibikaji na kuwezesha miamala Usajili wa Hati kufanyika kwa uwazi zaidi na kuongeza usalama wa milki. Akifungua mafunzo hayo kwa Wasajili wa Hati Wasaidizi wa Mikoa na Wataalam wa TEHAMA Septemba 21, 2024 mkoani Morogoro, Msajili wa Hati…

Read More

Je, unajua kuwa leo ndio siku yako

  Ikiwa leo hii ni Ijumaa ya tarehe 20 ligi mbalimbali zinaendelea kutimua vumbi kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Serie A na kwingineko huku nafasi ya wewe kukwapua mpunga ikiwa ni kubwa ndani ya Meridianbet. Na leo ndani ya Meridianbet tutaanza kuangazia ligi ya Italia SERIE A ambapo kutakuwa na mechi mbili huku mechi ya mapema…

Read More