CCM YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA HOTUBA YAKE KILIMANJARO

 Cha Mapinduzi (CCM), kimempongeza Rais DK Samia Suluhu Hassan kwa hotuba yake aliyoitoa Kilimanjaro ya kukemea vitendo vya utekaji na mauaji huku akiliagiza jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kubaini wale wanao husika na vitendo hivyo huku kikilaani vitendo hivyo vya upotoshaji wa hotuba hiyo vinavyofanywa na wapinzani hususan Chadema. Pia, alisema CCM imejipanga…

Read More

Cheza Beach Penalties mamilioni yakungoja

  Unataka nini kingine, wengi hudhani michezo yote ya kasino ni migumu kucheza kumbe sio, Pale Meridianbet kuna huu mchezo unaitwa BEACH PENALTIES, ni rahisi sana kula hela, fikiria unatengeneza pesa kwa kupiga tu penati, tena Zaidi hadi kipa unachagua wewe. Jisajili Meridianbet uanze kupiga mkwanja. Kwa kila pigo moja lina odds zake za ushindi…

Read More

TBS YATOA ELIMU YA UBORA WA BIDHAA KIGOMA

Na Mwandishi Wetu, Kigoma WANANCHI wameshauriwa kabla ya kununua bidhaa wahakikishe wanasoma kwa umakini taarifa zilizopo kwenye vifungashio ili kujiridhisha kama bidhaa hizo zimethibitishwa ubora na kama hazijaisha muda wake wa matumizi pamoja na taarifa zingine za msingi kwa lengo la kulinda afya zao. Ushauri huo ulitolewa na maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS)…

Read More

WAZIRI MKUU ATETA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisaini kitabu cha wageni wakati alipofanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres kwenye Ofisi za makao makuu ya umoja huo, New York Nchini Marekani Septemba 21, 2024. Mheshimiwa Majaliwa yupo nchini humo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja…

Read More

Umbumbumbu wa teknolojia wakwamisha wajasiriamali

Geita. Ukosefu wa ujuzi wa teknolojia umetajwa kuwa moja ya changamoto inayowafanya wajasiriamali kushindwa kunufaika na fursa zinazotolewa na Serikali kupitia mifumo ya kidijitali. Sababu nyingine ni pamoja na kutorasimisha biashara, ukosefu wa leseni pamoja na kutokuwa kwenye kanzidata, jambo ambalo Serikali imeamua kulipatia ufumbuzi kupitia program mpya ya Imarisha Uchumi na Mama Samia (Imasa)…

Read More

Kaa mkao wa kula na Meridianbet Jumamosi ya leo

  Wikendi ya kutusua na Meridianbet hatimaye imefika sasa, unangoja nini suka jamvi lako kuaniza kule  Uingereza, Hispania, Italia na kwingine kwingi utimize ndoto zako hapa. Ligi pendwa Duniani EPL leo kuna mechi kibao za pesa Aston Villa baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo atamualika Wolves ambaye hajashinda mechi yoyote hadi sasa. Unai Emery…

Read More

WAFANYABIASHARA MIPAKANI WATAKIWA  KURASIMISHA BIASHARA ZAO 

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe akitoa maelezo ya jumla kwa watumishi wa kituo hicho,wawakilishi wa wafanyabiashara na Viongozi wa Wilaya ya Rombo alioongozana nao katika ziara ya kutembelea kituo Cha forodha cha Holili kilichopo wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro. … Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe amewaomba wafanyabiashara katika mipaka…

Read More