Kicheko ujenzi wa hosteli uliokwama miaka saba

Serengeti. Jengo la Hosteli katika Shule ya Sekondari Ngoreme wilayani Serengeti lililoshindwa kukamilika kwa takriban miaka saba sasa  limekamlika kwa asilimia 98. Jengo hilo ambalo lilianza kujengwa na umoja wa wanafunzi waliiowahi kusoma shuleni hapo limefikia hatua hiyo baada ya Mkuu wa Mko wa Mara, Evans Mtambi kufanya ziara shuleni hapo Agosti,13 2024 na kutoa…

Read More

WAZIRI KIKWETE ATETA NA WAZIRI WA VIJANA ZANZIBAR

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete anekutana na kufanya mazungumzo na Nimekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Tabia Mwita walipokutana katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius…

Read More

Sababu WPL kusogezwa mbele | Mwanaspoti

MSIMU mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) uliokuwa uanze rasmi Oktoba 2 baada ya mechi za Ngao ya Jamii zilizokuwa zipigwe kuanzia Jumanne ijayo, umesongezwa mbele na sasa itaanza Oktoba 9, huku sababu za kuahirishwa zikiwekwa wazi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Klabu 10 zikiwamo nane zilizosalia msimu uliopita na mbili zilizopanda daraja…

Read More

RAIS DK. MWINYI AMTEMBELEA MZAA GAVU KIJIJINI KWAO MICHAMVI MSUWAKINI WILAYA YA KUSINI UNGUJA

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Haji Ussi Haji Gavu Mwenyekiti Mstaafu wa  Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja, alipofika nyumbani kwake Kijiji cha Michamvi Msuwakini Wilaya ya Kusini Unguja, kumtembelea na kumjulia hali yake leo 21-9-2024.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa…

Read More

Viongozi wa dini Mwanza walaani vitendo vya mauaji

Mwanza. Viongozi wa dini kamati ya amani Mkoa wa Mwanza, wamelaani vitendo vya mauaji, utekaji, upoteaji na ukatili vinavyoendelea kuripotiwa nchini. Kamati hiyo iliyokutana leo Jumamosi Septemba 21, 2024 jijini humo wakiadhimisha siku ya amani duniani pia wamevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kutokata tamaa na badala yake viendelee kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa…

Read More

MSIUZE MAENEO YA WAZI – PINDA

  Na Mwandishi Wetu, Moshi   Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewataka Watanzania kuacha mara moja tabia ya kuuza maeneo ya wazi ili kuhifadhi ardhi kwa matumizi ya dharura na maeneo mbadala yanapohitajika.   Mhe. Pinda amesema hayo katika kikao cha wananchi na watumishi wa Ardhi Mkoa wa Kilimanjaro…

Read More

Kennedy aukubali mziki Singida Black Stars

NAHODHA wa Singida Black Stars, Kenedy Juma amesema licha ya ugumu na ushindani uliopo katika Ligi Kuu Bara lakini wamepambana na kuongoza ligi ikiwemo ushindi katika mechi tatu za ugenini, huku akisisitiza kwamba uwepo wa wachezaji wengi wa kikosi kikosini haumpi presha ya namba. Singida Black Stars inaongoza Ligi Kuu Bara baada ya kuvuna pointi…

Read More

Challe atuliza presha KenGold | Mwanaspoti

HALI ni mbaya kwa kikosi cha KenGold ya jijini Mbeya baada ya juzi usiku kupoteza michezo wa nne mfululizo kwa kunyooshwa na Kagera Sugar mabao 2-0 ugenini, lakini kaimu kocha wa timu hiyo, Jumanne Challe ametuliza presha za mashabiki, ni upepo mbaya tu wanaowapitia, ila watakaa sawa. Kauli ya Challe imekuja baada ya kuiongoza timu…

Read More

Vyanzo vya mauaji Dodoma vyatajwa

Dodoma.  Ulevi, visasi, imani za ushirikiana na wivu wa mapenzi ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya mauaji ya kikatili mkoani Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi, Septemba 23, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema: “Kujichukulia sheria mkononi ni kesi chache lakini sababu kubwa ni wivu wa kimapenzi, imani za…

Read More