Mlandege yaona mwezi Zanzibar | Mwanaspoti

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi 2024, Mlandege jana imeonja ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar kwa msimu huu baada ya kuinyoa Mafunzo kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan kwa Wazee mjini Unguja. Mlandege iliyotwaa taji la Mapinduzi mapema mwaka huu kwa kuifunga Simba kwa bao 1-0 katika fainali kali iliyopigwa Januari 13 kwenye…

Read More

Wanyofoa sanamu la Nyerere Tabora

Tabora. Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wasiofahamika wamevamia na kuvunja sanamu la Mwalimu Nyerere lililopo mtaa wa Matola, Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora,  ambapo wameondoka na shingo ya sanamu hilo pamoja na mfano wa fimbo aliyokuwa akitembea nayo kiongozi huyo. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao, amethibitisha kutokea kwa…

Read More

MERIDIANBET YARUDISHA TENA KWA JAMII

Meridianbet leo wameendeleza utamaduni wao wa muda mrefu ambapo wamefika eneo la Mbezi mtaa wa Muafaka jijini Dar-es-salaam na kutoa msaada katika eneo hilo. Kwa miaka mingi sasa Meridianbet wamekua wakijitahidi kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii ambayo imewazunguka, Leo dodo likiwa limewaangukia wakazi wa Mbezi mtaa wa Muafaka jijini Dar-es-salaam. Wataalamu hao wa mchezo ya kubashiri…

Read More

Kocha JKT avivusha vigogo makundi

WAKATI Simba na Yanga zikiwa na mchezo wa raundi ya pili katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, kocha mkuu wa JKT Tanzania, Ahmed Ally amezipa mbinu timu hizo. Yanga itakuwa mwenyeji wa CBE ya Ethiopia kwenye uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar, leo Jumamosi wakati watani zao, Simba watakuwa na kibarua dhidi…

Read More

Matampi ajichomoa mapemaa Bara | Mwanaspoti

KIPA namba moja wa Coastal Union, Ley Matampi ametangaza kujichomoa mapema katika kinyang’anyiro cha tuzo ya kipa bora kwa msimu huu, akisema haoni tumaini la kutetea tuzo hiyo aliyotwaa msimu uliopita mbele ya Diarra Djigui kutokana na udhaifu wa safu ya ulinzi ulionyeshwa katika mechi za Ligi Kuu Bara. Matampi aliyetwaa tuzo hiyo baada ya…

Read More

Tamasha la utamaduni kitaifa lafunguliwa Songea

  WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amewaasa watanzania kuzingatia miiko, mila na desturi za kitanzania na kuwarithisha watoto na vijana ili kujiepusha na tamaduni za kigeni zisizofaa kwa jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Aidha, ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuwachukulia hatua kali wale wale wanaoua mila na desturi…

Read More