CAF yamaliza utata, Simba bado tishio Afrika

CHATI ya Caf ya ubora wa klabu hupangwa kwa kuzingatia pointi ambazo klabu imekusanya katika ushiriki wake kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kwa kipindi cha misimu mitano ya nyuma. Kwa mujibu wa Caf, timu huanza kuhesabiwa pointi hizo kuanzia hatua ya makundi hadi ile ya fainali na zinazotolewa…

Read More

RASIMISHENI BIASHARA ZENU-KIGAHE – Mzalendo

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe akitoa maelezo ya jumla kwa watumishi wa kituo hicho,wawakilishi wa wafanyabiashara na Viongozi wa Wilaya ya Rombo alioongozana nao katika ziara ya kutembelea kituo Cha forodha cha Holili kilichopo wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro. … Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe  amewaomba wafanyabiashara katika mipaka…

Read More

Maonyesho ya viwanda vidogo kufanyika Dodoma

  SERIKALI imewaalika wananchi na wadau mbalimbali kuhudhuria mkutano wa kukusanya maoni kuhusu Sera mpya ya biashara ndogo ndogo (SMEs) utakaofanyika mkoani Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. John  Simbachawene, wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa siku ya viwanda…

Read More

Bodaboda atekwa, auawa | Mwananchi

Mtwara. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linafanya uchunguzi wa tukio la mauaji ya dereva bodaboda wilayani Nanyumbu aliyejulkana kwa jina la Aziz Alumen Njombi (30). Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara, Issa Suleiman amesema kuwa mwili wa Njombi umekutwa katika kijiji cha Naisero wakati yeye ni mkazi wa…

Read More

VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI VYANUFAIKA NA MITAJI WEZESHI KUTOKA CRDB BENKI FOUNDATION

Ludewa. Vikundi nane vya Wajasiriamali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa vimenufaika na mtaji wezeshi kutoka Benki ya CRDB kupitia programu yake ya iMbeju. Jumla ya kiasi cha shilingi milioni 101.6 chatolewa kuwawezesha akina mama wajasiliamali waliopo kwenye vikundi  kwaajili ya kuimarisha biashara zao na kukuza mitaji. Hafla ya kukabidhi hundi hiyo imefanyika Septemba 18,…

Read More

Taoussi hana presha akiivaa Coastal Bara

KIKOSI cha Azam kesho Jumapili kinashuka Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar es Salaam kuivaa Wagosi wa Kaya, Coastal Union mchezo wa Ligi Kuu Bara, huku kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi akisema bado anasikilizia na kujipa muda zaidi akiwa na kikosi hicho, licha ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya KMC, kwenye Uwanja wa…

Read More

Mkotya awa Mwenyekiti Mgombezi Amcos

  WAKULIMA wa Chama cha ushirika cha msingi cha wakulima wadogo wa mkonge (Amcos), Mgombezi, wamemchagua mwanahabari Khamis Mkotya kuwa Mwenyekiti. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tanga … (endelea). Uchaguzi huo umefanyika leo katika eneo la Mgombezi lililopo wilayani Korogwe mkoani Tanga, ambapo wajumbe walichagua bodi mpya itakayokaa madarakani kwa miaka mitatu (2024-2027) Mkotya ambaye ni mjumbe…

Read More