Kada CCM adaiwa kumwagiwa tindikali Moshi

Moshi. Watu wasiojulikana wanadaiwa kumvamia na kummwagia kimiminika kinachosadikiwa kuwa tindikali, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Idrissa Makishe. Kada huyo mkazi wa Njoro wilayani Moshi amepata majeraha usoni na mikononi na amelazwa katika Hospitali ya Mawenzi. Msemaji wa hospitali hiyo, Venna Karia, amesema Septemba 20, saa 3.00 usiku walimpokea mgonjwa huyo…

Read More

Mtoto wa Museveni ajiondoa mbio za urais 2026

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Uganda (UPDF) Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametengua nia yake ya kugombea urais mwaka 2026,  badala yake ametangaza kumuunga mkono baba yake ambaye ni Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni katika kinyanganyiro hicho. Rais Museveni ameingoza Uganda tangu mwaka 1986 na anatajwa tena kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2026….

Read More

BROTHERHOOD SURVEY SERVICES YAFANYA USAFI HOSPITALI YA MANISPAA YA SHINYANGA

Wafanyakazi wa Kampuni ya Brotherhood Survey Services Company Limited wakiendelea kufanya usafi katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga  Mkurugenzi wa Kampuni ya Brotherhood Survey Services Company Limited, Japhet Allex Bulugu  (kulia) akishiriki kufanya usafi katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga  Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampuni ya Brotherhood Survey Services Company Limited ya…

Read More

KOKA APANIA KULETA MAPINDUZI SEKTA YA ELIMU TANGINI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe.Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya elimu ameahidi kutumia fedha za mfuko wa jimbo kwa asilimia 85 kwa ajili ya kuboresha elimu. Koka ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi kwa ajili ya kuweza kutembelea na…

Read More

𝗛𝗔𝗟𝗠𝗔𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝟭𝟮 𝗭𝗔𝗣𝗔𝗧𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗡𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗲-𝗕𝗢𝗔𝗥𝗗

Jumla ya watumishi 49 kutoka halmashauri 12, wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Kuratibu Vikao vya Bodi na Menejimenti (e-Board). Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Mamalaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) yamefanyika kuanzia Septemba 18 hadi 20 mwaka huu mjini…

Read More

WANACHAMA KUTOKA UPINZANI 62 WAHAMIA CCM KIBAHA MJI

Wanachama wa Vyama vya Upinzani 62 Kibaha Mji, Mkoani Pwani wamejiunga na CCM na kuahidi kuwa waaminifu na kukisaidia Chama cha Mapinduzi kikamilifu katika Chaguzi zijazo. Vyama ambavyo wanachama hao wanatokea ni ACT WAZALENDO wanachama 40 na CHADEMA wanachama 22 ambao wameelezea kilichowashawishi ni utekelezaji wa Ilani ya CCM chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan…

Read More