Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: October 1, 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • 1
Habari

Wananchi wataja wanayotarajia kwa Rais akihitimisha mbio za Mwenge

October 1, 2024 Admin

Mwanza. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuhitimisha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 mkoani Mwanza, baadhi ya wananchi wametaja wanayotamani ayazungumzie, kutolea maagizo,

Read More
Kimataifa

Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa alaani mgomo wa sokoni huko Kherson – Global Issues

October 1, 2024 Admin

“Bado tena, shambulio lingine lisiloeleweka la Wanajeshi wa Urusi liliua na kujeruhi raia, wakati huu mwanzoni mwa siku yao kwenye soko lenye shughuli nyingi katika

Read More
Habari

Wazee walilia sheria maalumu, malipo ya pensheni

October 1, 2024 Admin

Dar/Mikoani. Mahitaji ya sheria mahsusi ya wazee, ukosefu wa matibabu kwa wazee na ucheleweshaji wa mafao ya uzeeni, ni miongoni mwa kero zilizotajwa katika maadhimisho

Read More
Habari

Madereva wasota kujaza gesi kwenye vyombo vya moto

October 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati watumiaji wa gesi asilia kwenye vyombo vya moto wakieleza kukesha kwenye vituo vya kujaza gesi kusubiri huduma, Shirika la Maendeleo ya

Read More
Habari

RC Homera: Msikiti mkongwe hautavunjwa

October 1, 2024 Admin

Mbeya/Dar. Siku moja baada ya Mwananchi kuchapicha habari kuhusu kuvunjwa kwa msikiti wenye miaka 198 huko Mbalizi, mkoani Mbeya, mkuu wa mkoa huo, Juma Homera

Read More
Habari

Tahadhari ya Marburg yaongezwa mikoa minne Tanzania

October 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imesema imeanza kuchukua hatua kuhakikisha ugonjwa wa Marburg hauingii nchini, ikiwa ni pamoja na kuwakinga watoa huduma za afya kupitia miongozo

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 2,2024

October 1, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 2,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Mjadala afande ‘aliyewatuma’ wabakaji washika kasi

October 1, 2024 Admin

Moshi/Dar. Mara tu baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu, ‘waliotumwa na afande’ mjadala umepamba moto, kuhusu

Read More
Habari

Sh121 milioni kuwezesha bunifu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

October 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wajasiriamali wenye ubunifu wametengewa Sh121.19 milioni kwa ajili ya kuiwezesha kununi na kutengeneza teknolojia zitakazoiwezesha jamii kupambana na athari za mabadiliko ya

Read More
Habari

Tanzania kupata Sh33 bilioni za mabadiliko tabianchi

October 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoikumba dunia, Tanzania inatarajia kupata msaada wa Sh33 bilioni ili kukabiliana na changamoto hiyo. Fedha

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.