Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa alaani mgomo wa sokoni huko Kherson – Global Issues

“Bado tena, shambulio lingine lisiloeleweka la Wanajeshi wa Urusi liliua na kujeruhi raia, wakati huu mwanzoni mwa siku yao kwenye soko lenye shughuli nyingi katika Jiji la Kherson, kusini mwa Ukraine,” Matthias Schmale alisema katika taarifa. Takriban watu watano waliuawa, na wengine kujeruhiwa, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Bw. Schmale alisema soko na…

Read More

Wazee walilia sheria maalumu, malipo ya pensheni

Dar/Mikoani. Mahitaji ya sheria mahsusi ya wazee, ukosefu wa matibabu kwa wazee na ucheleweshaji wa mafao ya uzeeni, ni miongoni mwa kero zilizotajwa katika maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani leo Oktoba mosi, 2024. Siku hiyo inaadhimisha kila Oktoba mosi, ili kukumbuka historia ya Desemba 14 mwaka 1990 ambapo Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Read More

Madereva wasota kujaza gesi kwenye vyombo vya moto

Dar es Salaam. Wakati watumiaji wa gesi asilia kwenye vyombo vya moto wakieleza kukesha kwenye vituo vya kujaza gesi kusubiri huduma, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeeleza mkakati wa kukabiliana na hali hiyo. TPDC imesema itaingiza nchini vituo jongefu vya kujaza gesi kwenye magari (mobile CNG station). Changamoto iliyojitokeza jana kwenye vituo vya…

Read More

RC Homera: Msikiti mkongwe hautavunjwa

Mbeya/Dar. Siku moja baada ya Mwananchi kuchapicha habari kuhusu kuvunjwa kwa msikiti wenye miaka 198 huko Mbalizi, mkoani Mbeya, mkuu wa mkoa huo, Juma Homera amesema msikiti huo hautavunjwa, huku akitoa maelekezo kwa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuangalia namna ya kuchepusha barabara hiyo. Wakati Homera akitoa maelekezo hayo, wadau wengine wamejitokeza kutaka historia ya…

Read More

Tahadhari ya Marburg yaongezwa mikoa minne Tanzania

Dar es Salaam. Serikali imesema imeanza kuchukua hatua kuhakikisha ugonjwa wa Marburg hauingii nchini, ikiwa ni pamoja na kuwakinga watoa huduma za afya kupitia miongozo ya matibabu. Hatua hiyo inatokana na nchi ya Rwanda kuripoti watu 26 kuugua Marburg, huku sita wakipoteza maisha tangu kuthibitishwa kwa mlipuko wa ugonjwa huo Septemba 27, 2024. Taarifa za…

Read More

Mjadala afande ‘aliyewatuma’ wabakaji washika kasi

Moshi/Dar. Mara tu baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu, ‘waliotumwa na afande’ mjadala umepamba moto, kuhusu yanayetajwa kuwatuma. Washtakiwa hao wanne, walitiwa hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam, ambaye mahakamani hapo…

Read More

Sh121 milioni kuwezesha bunifu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Dar es Salaam. Wajasiriamali wenye ubunifu wametengewa Sh121.19 milioni kwa ajili ya kuiwezesha kununi na kutengeneza teknolojia zitakazoiwezesha jamii kupambana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Bunifu hizo ni uundaji wa vifaa vya kuhifadhia maji na vifaa vya kuhisi matetemeko. Mkakati huo unatokana na programu ya uwezeshaji ya ClimAccelerator ikishirikiana na Smartlab chini…

Read More

Tanzania kupata Sh33 bilioni za mabadiliko tabianchi

Dar es Salaam. Kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoikumba dunia, Tanzania inatarajia kupata msaada wa Sh33 bilioni ili kukabiliana na changamoto hiyo. Fedha hizo zimelenga kusaidia ngazi ya jamii na Serikali za mitaa ikiwa ni moja ya mkakati wa utekelezaji wa mfuko huo wa mabadiliko ya tabianchi mwaka 2021-2026. Moja ya maeneo yaliyotajwa…

Read More