Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Timu ya Wataalamu kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Harris Charalambos Tsangarides, mara baada ya kufungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu hiyo imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akifungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu hiyo iliyoongozwa na Bw. Harris Charalambos Tsangarides (hayupo pichani), imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo.
Hafla ya ufunguzi wa vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu ya IMF, imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa Program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo.

Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF, Bw. Harris Charalambos Tsangarides (kulia), akizungumza jambo wakati Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (hayupo pichani), alipofungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika hilo, katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu hiyo imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa Program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo.

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Bw. Emmanuel Tutuba, akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) uliofanywa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (hayupo pichani), katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu ya IMF imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa Program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo.

Baadhi ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF, wakimsikiliza Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (hayupo pichani), wakati akifungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu hiyo imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa Program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (wa sita kulia), na Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF, Bw. Harris Charalambos Tsangarides (katikati), wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa Serikali na Timu ya Wataalam kutoka IMF, baada ya hafla ya ufunguzi wa vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, jijini Dodoma, ambapo Timu hiyo imewasili nchini kufanya Tathimini ya Awamu ya Nne ya utekelezaji wa program ya Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa nchi kupitia sekta za uzalishaji na huduma za jamii pamoja na program mpya ya Serikali ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia dirisha la Resilient and Sustainable Fund (RSF) kutoka Shirika hilo. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)