Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: October 4, 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • 4
Habari

DIDAH WA WASAFI MEDIA AFARIKI DUNIA

October 4, 2024 Admin

Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha WasafiFM Khadija Shaibu maarufu kama Didah, amefariki dunia jioni ya leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es

Read More
Habari

WAZIRI JAFO ATOA USHAURI KWA BODI MPYA YA WAKURUGENZI FCC

October 4, 2024 Admin

WAZIRI wa Viwanda na  Biashara Mh.Suleiman Jafo ameishauri bodi mpya ya  Wakurugenzi wa Tume ya Ushindani( FCC) kuhakikisha inakutana na kufanya kikao  haraka kwa lengo

Read More
Habari

Tume yatakiwa itafute mwarobaini kero za kodi

October 4, 2024 Admin

  Rais Samia Suluhu Hassan, amesema mfumo mzuri wa ukusanyaji na ulipaji wa kodi, utafanikisha lengo la kujenga uchumi jumuishi na unaokua kwa kasi. Anaripoti

Read More
Habari

DIDA SHAIBU WA WASAFI FM AFARIKI DUNIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

October 4, 2024 Admin

    Mtangazaji wa Wasafi FM, Dida Shaibu amefariki Dunia usiku huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua na

Read More
Burudani

MSONDO NGOMA KUADHIMISHA MIAKA 60 GWAMBINA

October 4, 2024 Admin

Na.Khadija Seif, Michuziblog BENDI ya Msondo Ngoma yawaalika Mashabiki zake kuhudhuria Tamasha la Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa bendi hiyo. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba

Read More
Habari

TIC, AIRTEL WASAINI MAKUBALIANO KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI

October 4, 2024 Admin

  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Dinesh Balsingh wakibadilishana mikataba mara baada ya kusaini

Read More
Burudani

Tamasha la miaka 60 ya Msondo Ngoma kufanyika Oktoba 26

October 4, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Bendi maarufu ya muziki wa dansi nchini Tanzania, Msondo Ngoma Music Band, inatarajia kuadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa kwake kwa

Read More
Habari

CHUKUA CHAKO NA MERIDIANBET SIKU YA LEO

October 4, 2024 Admin

MPENDWA mteja wa Meridianbet, wikendi ndio hii inaanza leo ambapo ligi sasa inarejea huku ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yakiwepo hapa. Suka jamvi

Read More
Burudani

Nandy na Diamond kuwania Tuzo za AEAUSA

October 4, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Faustina Mfinanga, anayefahamika zaidi kwa jina la Nandy, ametajwa kuwania tuzo ya Msanii

Read More
Habari

WAZIRI BASHE AZINDUA KIUATILIFU HAI CHA KUANGAMIZA WADUDU DHURIFU WA MAZAO YA MAHINDI NA PAMBA

October 4, 2024 Admin

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amezindua kiuatilifu hai cha kuangamiza wadudu dhurifu kwenye mazao (THURISAVE – 24) kilichovumbuliwa na kampuni ya Tanzania Biotech

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.