Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: October 5, 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • 5
Habari

IGP WAMBURA AFANYA KIKAO KAZI NA ASKARI KIGOMA

October 5, 2024 Admin

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, Oktoba 5,2024 amewasili mkoani Kigoma na kufanya kikao kazi na kuwa na majadiliano ya ndani na

Read More
Habari

DKT. KIRUSWA : UBIA WA BARRICK NA TWIGA UNAZIDI KULETA MANUFAA NCHINI

October 5, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa.Ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania iliyotolewa hivi karibuni imebainisha hakuna ukiukaji wa haki

Read More
Habari

SERIKALI YASEMA UBIA WA BARRICK NA TWIGA UNAZIDI KULETA MANUFAA NCHINI

October 5, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa akizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari wa kupokea taarifa ya utendaji wa migodi ya Barrick uliojumuisha wadau mbalimbali.

Read More
Habari

Dkt. Lekundayo Ahamasisha Wahitimu wa Muziki Kuwa Mabalozi wa Sanaa

October 5, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Kusini mwa Tanzania, Dkt. Godwin Lekundayo, amewataka wahitimu wa mafunzo ya sanaa

Read More
Habari

Mahafali ya 54 UDSM : Prof. Anangisye Awasihi Wahitimu Kuleta Mabadiliko na Kutatua Changamoto za Jamii

October 5, 2024 Admin

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye, amewahimiza wahitimu wa chuo hicho kutokaa wanasubiri ajira za serikalini pekee, bali pia

Read More
Habari

ONGEZEKO LA WANAFUNZI VETA MAKETE:USHIRIKIANO NA WADAU WASAIDIA MAFANIKIO

October 5, 2024 Admin

Chuo cha VETA ya Makete kimeshuhudia ongezeko kubwa la udahili wa wanafunzi katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, kutokana na kampeni maalum ya kuhamasisha wadau

Read More
Habari

BASHE: NDOTO YA MWALIMU NYERERE YATIMIZWA NA RAIS DKT. SAMIA

October 5, 2024 Admin

WANANCHI wa vijiji pembezoni mwa Bwawa la Mkomazi hatimae kuona ndoto ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere ya kutaka kujenga bwawa hilo la umwagiliaji sasa kutimizwa

Read More
Habari

Rasmi Swissport yaingia makubaliano na Shirika la Ndege la Ufaransa na KLM “Kiwanja cha Julius Nyerere”

October 5, 2024 Admin

Kampuni ya Swissport Tanzania imeingia makubaliano ya kufanyakazi na Shirika la Ndege la Ufaransa na KLM katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere

Read More
Habari

WADAU SEKTA YA ULINZI BINAFSI WAPIGWA MSASA

October 5, 2024 Admin

Na: Mwandishi wetu, Dar es Salaam Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kupitia Idara ya Kazi, imetoa elimu ya sheria

Read More
Habari

Rais Samia ampongeza walimu 5000 Arusha kupatiwa majiko ya gesi ya oryx

October 5, 2024 Admin

RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan amepongeza walimu 5000 wa shule za msingi na Sekondari Jijini Arusha kupatiwa mitungi ya gesi ya oryx na majiko yake  kwa

Read More

Posts pagination

1 2 … 4 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.