TBL YAADHIMISHA SIKU YA BIA FUNIANI KWA KUHAMASISHA KUNYWA KISTAARABU YATOA ELIMU YA KUNYWA KISTARAABU.

Katika kusheherekea siku ya bia duniani, Kampuni ya Bia ya Tanzania (TBL), inayoongoza kwa utengenezaji wa vinywaji hapa nchini, leo imezindua Kampeni yake ya ‘Smart Drinking’ yenye lengo la kutoa elimu ya kunywa kistaarabu. Kampeni hii inalenga wauzaji na watumiaji wa bia ili kuwahimiza kunywa kwa kiasi na kwa usalama, na imefanyika katika kumbi mbalimbali…

Read More

KAMPUNI YA EFL YATOA SEMINA YA UWEKEZAJI NA USIMAMIZI WA FEDHA KWA WAFANYABIASHARA

Na Pamela Mollel,Arusha Kampuni ya Enterprise Finance ltd(EFL)imetoa semina ya uwekezaji na usimamizi wa fedha kwa makundi ya watu waliojiajiri na walioajiriwa kwenye biashara,lengo ni kuwezesha washiriki kujua njia bora za kuwekeza kwenye biashara na masoko Akizungumza katika semina hiyo iliyofanyika jijini Arusha Oktoba 5 mwaka huu,Mmoja wa wawezeshaji Prof.Goodluck Urassa ambaye ni Mkurugenzi wa…

Read More

UDINI NI HATARI, KUCHOMA NGUO NI UTOTO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahimiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM, akisisitiza kuwa chama hicho kimeonyesha kwa vitendo uwezo wa kuongoza nchi na dhamira ya kuwahudumia wananchi wanyonge. Dkt. Nchimbi alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Lamadi, Wilaya ya Busega na Kata ya Dutwa,…

Read More

Ondoka na mkwanja leo kwa kupiga penalti

  Siku nyingine leo ya kuhakikisha unafurahia wikiendi yako pale ambapo utaamua kucheza mchezo wa Kasino wa Beach Penalties, Ambapo kwa kupiga penalty tu unaondoka na kitita. Piga penalty zako tano leo uweze kuondoka na kitita kwani kupitia mchezo huu kabambe wa Beach Penalty ni ufundi wako wa kuweza kufunga mikwaju ya penalty ndio utaamua…

Read More

BENDERA YA TANZANIA YAPEPERUSHWA VYEMA NA IBRAHIM MAFYA

 Bendera ya Tanzania imepeperushwa vyema baada ya Bondia mwenye nyota tatu Mtanzania Ibrahim Mafia, kumchapa mpinzani wake mwenye nyota mbili kutoka Ghana Enoch Tetty Tetteh, kwenye pambano na raundi kumi la kupigania mkanda wa WBC AFRICA BELT. Enoch amekubali yaishe baada ya kushindwa kuendelea na pambano katika raundi ya 9 na Ibrahim Mafia kuibuka na…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZINDUA KAMPENI YA UZAZI NI MAISHGA VIWANJA VYA IKULU ZANZIBAR

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuzindua Kampeni ya Uzazi ni Maisha, hafla hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh  (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi…

Read More

MSIGWA ATINGA KATIKA PAMBANO LA NGUMI USIKU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa pamoja na viongozi mbalimbali na mashabiki wa ndondi wakifuatilia mapambano yanayoendelea muda huu kwenye ukumbi wa City Centra Hall Magomeni Jijini Dar Es Salaam. Usiku wa KNOCKOUT YA MAMA utawakutanisha mabondia kutoka nchi za Ghana, Uganda, South African, Tanzania na Angola wanatarajia kuchuana katika…

Read More