Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: October 7, 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • 7
Kimataifa

'Msisitizo Unapaswa Kuwa katika Kuwajibisha Kampuni za Mitandao ya Kijamii, Sio Kuwaadhibu Watumiaji Binafsi' – Masuala ya Ulimwenguni

October 7, 2024 Admin

na CIVICUS Jumatatu, Oktoba 07, 2024 Inter Press Service Oktoba 07 (IPS) – CIVICUS inajadili marufuku ya hivi majuzi ya Twitter/X nchini Brazili na Iná

Read More
Habari

Mama Lishe Wapongeza Coca-Cola kwa Kusaidia Kuinua Biashara Zao Kupitia ‘Coca-Cola Food Fest’

October 7, 2024 Admin

Wafanyabiashara wa chakula maarufu kama ‘Mama Lishe’ wameeleza shukrani zao kwa Kampuni ya Coca-Cola kwa kuanzisha wazo bunifu kupitia tamasha la ‘Coca-Cola Food Fest’, ambalo

Read More
Michezo

Maadhimisho Mwezi wa Huduma kwa wateja: Benki ya NBC Yajivunia Maboresho ya Huduma Kukidhi ya Mahitaji ya Wateja.

October 7, 2024 Admin

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua maadhimisho ya mwezi wa huduma wa kwa wateja huku ikijivunia mafanikio mbalimbali ikiwemo maboresho makubwa ya huduma zake

Read More
Habari

WAZIRI SILAA AITAKA POSTA KUONGEZA UFANISI NA UBORA WA HUDUMA

October 7, 2024 Admin

▪️Yatakiwa kuchangamkia fursa mpya za usafirishaji ▪️Yatakiwa kuhakikisha mifumo yake ya utendaji inasomana Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry William Silaa

Read More
Habari

PANDENI MITI KWA MAZINGIRA BORA YA KUJISOMEA- WAZIRI MHAGAMA

October 7, 2024 Admin

Na Linda Akyoo -Moshi WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama ameuagiza uongozi wa Shule ya Sekondari Dkt Asha Rose Migiro iliyopo Wilaya ya Mwanga Mkoa wa

Read More
Habari

UBALOZI WA CHINA WAUNGANA NA ORYX KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA, WAKABIDHI MITUNGI 800 JIJINI ARUSHA – MWANAHARAKATI MZALENDO

October 7, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Arusha   UBALOZI WA China kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania wametoa mitungi 800 ya gesi yakiwa na majiko yake

Read More
Habari

WANANCHI ZANZIBAR WAJITOKEZA KUBORESHA DAFTRARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

October 7, 2024 Admin

  Wananchi wa Jimbo la Paje lililopo katika Wilaya ya Kusini,Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa katika moja ya vituo kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye

Read More
Habari

Wanafunzi Benjamin Mkapa wachangisha Sh 800,000 kuwasaidia wenzao wasiojiweza

October 7, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya Sh 855,000 zimechangwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa ili kusaidia wenzao wanaoishi kwenye mazingira magumu.

Read More
Habari

WMA YAHIMIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KATIKA SEKTA YA MADINI

October 7, 2024 Admin

Na Paulus Oluochi – WMA Geita Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo Mkoa wa Geita, Eva Ikula, amewahimiza wadau katika sekta ya madini kuhakikisha wanatumia mizani

Read More
Habari

Sehundofe wakopeshana Sh bilioni 4.2 kujikwamua kiuchumi

October 7, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kikundi cha kuweka na kukopa cha Sehundofe kimetoa mikopo ya zaidi ya Sh bilioni 4.2 kwa wanachama wake kuwawezesha kujikwamua

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.