Kili MediAir yaendeleza huduma za uokozi na utalii wa anga kwa watalii nchini Tanzania

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Kampuni ya Kili MediAir, inayotoa huduma za uokozi kwa njia ya anga nchini Tanzania, imeendelea kuboresha huduma zake na kujikita katika utalii wa anga ili kuwapa fursa Watanzania na watalii wa kimataifa kufurahia mandhari za kipekee nchini. Akizungumza Oktoba 12, 2024, katika maonyesho ya nane ya S!TE yanayoendelea katika Ukumbi…

Read More

PPRA yahimiza wananchi kutumia fursa ya sheria ya manunuzi kujikwamua kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Juma Mkobya, amewahimiza wananchi kutumia fursa zinazotolewa na Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2023 ili kujikwamua kiuchumi. Mhandisi Mkobya alitoa wito huo jijini Mwanza Oktoba 12, 2024 alipokuwa akielimisha wananchi waliotembelea banda la mamlaka hiyo kwenye maonesho ya…

Read More

KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA

NA DENIS MLOWE,IRINGA JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7 mwezi 10 mwaka huu Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Vitus Nkuna (29) Mnyambo, mjasiriamali, mkazi wa Mwangata Manispaa Iringa. Akizungumza mbele ya wanahabari Kamanda wa Polisi mkoa wa…

Read More

Rais Mwinyi Aongoza Mkutano wa Kimataifa wa Wanunuzi na Wauzaji wa bidhaa za utalii – MWANAHARAKATI MZALENDO

Siku ya kwanza ya maonyesho ya S!TE 2024 yalianza kwa ari ya juu kwa Rais wa Zanzibar Hussein Ali Mwinyi kuongoza sherehe za ufunguzi akiambatana na wadau wa sekta ya utalii duniani. Mijadala mbalimbali muhimu ilijadiliwa na mawazo ya kibunifu tayari yanapeleka mbele mustakabali wa sekta ya usafiri. Nawe unaweza kuwa sehemu ya mabadiliko haya…

Read More