PPRA yahimiza wananchi kutumia fursa ya sheria ya manunuzi kujikwamua kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Juma Mkobya, amewahimiza wananchi kutumia fursa zinazotolewa na Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2023 ili kujikwamua kiuchumi. Mhandisi Mkobya alitoa wito huo jijini Mwanza Oktoba 12, 2024 alipokuwa akielimisha wananchi waliotembelea banda la mamlaka hiyo kwenye maonesho ya…

Read More

KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA

NA DENIS MLOWE,IRINGA JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7 mwezi 10 mwaka huu Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Vitus Nkuna (29) Mnyambo, mjasiriamali, mkazi wa Mwangata Manispaa Iringa. Akizungumza mbele ya wanahabari Kamanda wa Polisi mkoa wa…

Read More

Kukamatwa kwa Mwanamke kwa tuhuma za Mauaji Arusha.

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linamshikilia Jaina Mchomvu kwa tukio la mauaji ya mtoto aitwaye Mariam Juma mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa kwa Mrombo katika Halmashauri ya jiji la Arusha aliyekutwa ameauwa huku mwili wake ukiwa na majeraha ya kukatwa na kitu chenye ncha kali…

Read More