WAZIRI MCHENGERWA AFUNGA ZOEZI LA UANDIKISHAJI DAFTARI LA MPIGA MPIGA KURA

  Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala  za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI ) Mohammed  Mchengerwa leo 20,Oktoba 2024  amefunga zoezi la kujiandikisha kupiga kura na kutoa taarifa ya siku tisa ya waliojitokeza kujiandikisha nchini ambapo watanzania zaidi ya Mil. 26,769,995 wamejiandikisha sawa na asilimia 81.15  ya Watanzania wamejiandikisha. Mhe. Mchengerwa amejiandikisha katika…

Read More

Afrika kujadili haki ya Umiliki wa Ardhi kwa vijana

Na Seif Mangwangi, Arusha Migogoro ya kisiasa katika nchi nyingi za kiafrika na kutokuwepo kwa sera za kuwezesha vijana kumiliki ardhi ni miongoni mwa changamoto zinazoelezwa kuchangia umaskini kwa vijana barani Afrika. Hayo yameelezwa leo Oktoba 20,2024 Jijini hapa na waandaaji wa Kongamano la Kimataifa kuhusu vijana na utawala wa Ardhi barani Afrika (CIGOFA4), linaloanza…

Read More

ZOEZI LA UANDIKISHAJI LATAMATIKA KWA AMANI

Na Linda Akyoo -Moshi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdun Babu ameeleza namna alivyo furahishwa na zoezi la uandikishaji Wilaya ya Same linavyotamatika kwa amani na utulivu, huku akiipongeza kamati ya usalama ya Wilaya kwa kazi nzuri ya kuimarisha usalama ndani ya siku zote 10 za uandikishaji kuanzia Oktoba 11 hadi 20 mwaka huu…

Read More

Uhifadhi wa mifumo ya ikolojia katika hifadhi ndio kipaumbele cha serikali ya Tanzania – Prof Malebo

Na Mwandishi Wetu,New York Marekani. Katibu Mtendaji wa Tume ya UNESCO Tanzania Profesa Hamisi M. Malebo amesema Serikali ya Tanzania imeweka kipaumbele katika kulinda mifumo ya uhifadhi wa ikolojia iliyomo katika ardhi ya Tanzania. Prof Malebo amesema pamoja na ukweli kuwa jamii ya Wamaasai imeishi pamoja na wanyamapori kwa vizazi vingi, zipo taarifa za changamoto…

Read More

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, ameipongeza SADC kwa kuimarisha Demokrasia

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, ameipongeza Jumuiya ya maendeleo nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kwa hatua muhimu iliyofikiwa katika kumairishwa kwa Demokrasia, Amani, Ulinzi, Usalama na Maendeleo kwa Nchi za Jumuiya hiyo.   Akiungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuwasili Jijini Gaborone Nchini Botswana, kutekeleza majukumu ya uangalizi wa uchaguzi Mkuu…

Read More

MCHECHU ACHANGISHA SH117.8.MILIONI UJENZI WA KANISA NAIBILI

Kilimanjaro. Bw. Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh117.8 milioni kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Naibili, Siha, Kilimanjaro. Kati ya fedha hizo kwaajili ya jengo hilo mpya la ibada…

Read More

Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike

Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike kupitia Kongamano la KIGODA LA WASICHANA @kigodachawasichana lililofanyika Tarehe 11/10/2024 katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Kike visiwani Zanzibar. Kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya @shirazfoundation imemkabidhi Tuzo hiyo Alikiba alipohudhuria na kushiriki Kongamano hilo viwanja vya Nyamanzi Zanzibar na kuhudhuriwa na Mgeni Rasmi,…

Read More