
Tanzania mwenyeji safari ya kihistoria ‘Live Your Dream Road Tour’ itakayofanyika Novemba mwaka huu
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Afrika (SADC) lazima ziwe makini sana katika kuuendeleza na kukuza utalii wenye tija na kwa kulitambua hilo GAAB kwa kushirikiana na wadau wa utalii wameileta safari ya kihistoria itakayokutanisha nchi zaidi ya 16 iliyopewa jina la Live Your Dream Road Tour 2024 hii itakuwa safari ya kwanza ya…