MHE. PINDA ,SEOM WAKUTANA NA MACHIFU WA BOTSWANA

Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-SEOM) Mhe. Mizengo Pinda na ujumbe wake wa SEOM wamekutana na kuzungumza na machifu kutoka koo mbalimbali za nchini Botswana katika kikao kilichofanyika jijini Gaborone tarehe 27 Oktoba 2024 ikiwa ni sehemu ya vikao ambavyo SEOM imekuwa ikifanya na wadau…

Read More

Aweso aweka jiwe la msingi ujenzi shule ya Kata Mwanuzi

  WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amesema Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya kazi kubwa sana katika uwekezaji kwenye Miundombinu ya Elimu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Busega, Mwanza … (endelea). Waziri Aweso ameyasema hayo baada ya kuzindua mradi wa Ujenzi wa shule mpya ya Kata ya Mwanuzi yenye madarasa nane, jengo…

Read More

Bashungwa: Msitoke Mafia mpaka kivuko kitoe huduma

  WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amempgia simu na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kufika mara moja katika Kisiwa cha Mafia kupiga kambi kusimamia matengenezo ya Kivuko cha MV Kilindoni na kuhakikisha hawatoki mpaka huduma ya usafiri…

Read More

Prof. Mbarwa azindua miradi ya Bil 1.7 Katavi

  WAZIRI wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameweka mawe ya msingi na kuzindua miradi minne ya maendeleo yenye jumla ya shilingi bilioni 1.793 katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mpanda, Katavi … (endelea). Katika siku ya pili ya ziara yake Mkoani humo, leo tarehe 27 Oktoba 2024, Waziri Mbarawa amefanya ukaguzi ukarabati…

Read More

Meridianbet inakwambia hivi Pesa iko huku

Ndugu mteja wa Meridianbet baada ya jana kushuhudia mechi kali zikipigwa kwenye ligi mbalimbali, leo hii pia ni bandika bandua, mechi nyingi za pesa zipo leo. Ingia na ubashiri sasa. Uingereza pale EPL leo kuna mitanange ya kukata na shoka ambapo Chelsea baada ya kupoteza mchezo uliopita leo hii atamualika kwake Newcastle United ambaye pia…

Read More

40 Lucky Sevens ni ushindi tu

  Washindi wapo sehemu moja tu kwasasa ni wale ambao wanacheza mchezo wa kasino wa40 Lucky Sevens ambao umefanikiwa kubadilisha maisha ya wengi, Kwani watuwameshinda mamilioni ya kutosha kupitia mchezo huu. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma“Game Art“. Utapenda mchezo huu ikiwemo aina mbili za alama…

Read More