
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 31,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 31,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 31,2024 About the author
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji,Mtandao wa jinsia Tanzania TGNP umewapatia mafunzo watia nia ambao tayari wamepitishwa na vyama vyao kwa lengo la kuongeza nafasi za wanawake katika uongozi. Hayo yamebainishwa leo Oktoba 30,2024 Jijini Dar es Salaam katika semina za jinsia na Maendeleo zinazofanyika kila Jumatano,Afisa TGNP-Mtandao Idara ya mafunzo Anna Sangai…
Mwandishi Wetu ,Manyara . Kampuni ya kuzalisha Vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited imeibuka kinara katika maonyesho ya Biashara ,Viwanda na Kilimo ya Tanzanite Manyara Trade Fair 2024 baada ya kushinda Tuzo ya wazalishaji bora wa vinywaji changamshi miongoni mwa makampuni yaliyoshiriki kwenye maonyesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa wanazozilisha kukidhi viwango vya…
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akizungumza na wajumbe wa kikao kazi cha kuandaa Kanuni za Urejeshaji wa Gharama za Uendeshaji wa Mashauri ya Serikali wakati akifungua kikao hicho kilichofanyika Kibaha mkoani Pwani. Mkurugenzi Msaidizi Udhibiti Ubora wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Mercy Kyamba akizungumza na wajumbe wa kikao kazi wakati…
Wananchi wa Botswana leo tarehe 30 Oktoba 2024 wamepiga kura kuchagua wabunge watakaounda Bunge la 13 la nchi hiyo na wenyeviti wa Serikali za mitaa ambao wataongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-SEOM) Mhe. Mizengo Pinda na timu…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kushirikiana na Shirika la kuhudumia Watoto ulimwenguni UNICEF imewakutanisha Wadau wa Malezi na Makuzi nchini kwa ajili ya kujadili na kutoa maoni juu ya michoro na makadirio ya gharama za ujenzi wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana. Akifungua kikao kazi hicho kilichofanyika mkoani Morogoro…
Na Pamela Mollel,Arusha Serikali inafanya kila iwezavyo uhakikisha kuwa wananchi wa Tanzania wanapata huduma bora za afya hata pale ambapo watakuwa hawana fedha za kulipia. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameongeza kuwa, Tanzania inafanya jitihada zingine za kuhakikisha vifaa tiba pamoja na madawa ya kutosha sio tu yanapatikana kwa wingi nchini bali pia yanasambazwa katika kila…
Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa semina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii na Wabunge wenye Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori( WMAs) kwenye majimbo yao, lengo ikiwa ni kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu malengo ya ushirikishaji jamii katika uhifadhi, faida zake, kanuni na marekebisho yake. Semina hiyo imefanyika leo Oktoba…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa utunzaji nzuri wa kumbukumbu na Nyaraka unapelekea kwa kiasi kikubwa katika kuchochea ukuaji wa uchumi na uwekezaji nchini. Ameyasema hayo kwa niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussen Ali Mwinyi katika Mkutano wa kumi…
Na Jane Edward, Arusha Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdala Ulega ameitaka Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania kushirikiana na taasisi za kiserikali kuangalia uwezekano wa kupandikiza samaki katika bwawa la Mwalimu Julius Nyerere.Ulega ameyasema hayo jijini Arusha wakati akifungua Mkutano wa tatu wa Sayansi na Uvuvi viumbe maji amesema ZAFIRI na TAFIRI kufanya…