Sekta ya utalii inachangia kiasi kikubwa katika pato la taifa

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Dastan Kitandula amesema kuwa Sekta ya Utalii imepiga hatua kubwa kutokana na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuipa kipaumbele Sekta hiyo hali inayochangia kukuza uchumi wa nchi. Ametoa kauli hiyo leo wakati akifungua Mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji katika Sekta ya Utalii Nchini Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Mlimani City…

Read More

TASAC yaonya vyombo vya mizigo kubeba abiria

Na Yohana Paul, Geita SHIRIKA la Wakala wa Huduma za Meli Tanzania (TASAC) limewataka watanzania kuacha tabia ya kusafiri kwa kutumia vyombo vya majini vilivyopewa leseni ya kusafirisha mizigo kwani usalama wao upo hatarini. Mkurugenzi Mkuu wa Tasac, Mohamed Salum ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi kwenye Maonyesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini…

Read More

PPRA yahimiza wananchi kutumia fursa ya sheria ya manunuzi kujikwamua kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Juma Mkobya, amewahimiza wananchi kutumia fursa zinazotolewa na Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2023 ili kujikwamua kiuchumi. Mhandisi Mkobya alitoa wito huo jijini Mwanza Oktoba 12, 2024 alipokuwa akielimisha wananchi waliotembelea banda la mamlaka hiyo kwenye maonesho ya…

Read More