KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA

NA DENIS MLOWE,IRINGA JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7 mwezi 10 mwaka huu Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Vitus Nkuna (29) Mnyambo, mjasiriamali, mkazi wa Mwangata Manispaa Iringa. Akizungumza mbele ya wanahabari Kamanda wa Polisi mkoa wa…

Read More

Kukamatwa kwa Mwanamke kwa tuhuma za Mauaji Arusha.

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linamshikilia Jaina Mchomvu kwa tukio la mauaji ya mtoto aitwaye Mariam Juma mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa kwa Mrombo katika Halmashauri ya jiji la Arusha aliyekutwa ameauwa huku mwili wake ukiwa na majeraha ya kukatwa na kitu chenye ncha kali…

Read More