Rais Samia atua Mwanza kwa kishindo

Ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza imeanza siku ya leo na kwa umuhimu mkubwa katika kuimarisha maendeleo ya mkoa huo inatarajiwa kutoa fursa kwa wananchi kuwasilisha changamoto wanazokabiliana nazo moja kwa moja. Katika ziara hii, Rais Samia atapata nafasi ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa…

Read More

WANANCHI WATEMBELEA BANDA LA TAA MAONESHO YA UTALII YA SWAHILI (S!TE 2024)

Meneja Biashara kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Harieth Nyalusi akitoa maelezo kuhusu fursa mbalimbali zinazopatikana katika viwanja vya ndege vinavyosimamiwa na Mamlaka hiyo wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam  Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA)…

Read More

DKT. SHEKALAGHE AHIMIZA SHIUMA KUWA KITU KIMOJA KWA MAENDELEO YA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO

Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Seif Shekalaghe amewataka viongozi wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) ngazi ya Taifa na mikoa kuwa kitu kimoja na kushiriki kikamilifu kwenye shughuli zinazosimamiwa na Serikali kwa maendelea ya wafanyabiashara ndogondogo nchini. Hayo ameyasema Oktoba 11, 2024…

Read More

CRDB YAKABIDHI MASHINE YA KUCHAPISHIA MITIHANI LUDEWA

Taasisi ya kibenki ya CRDB imekabidhi mashine ya kuchapishia mitihani katika shule y sekondari Ludewa kwanza Ili kuweza kurahisisha huduma ya utoaji elimu na kuwawezesha wanafunzi kupata mazoezi ya mitihani ya kutosha. Uwasilishwaji wa mashine hiyo ni matokeo ya maombi ya Mbunge wa Jimbo la Ludewa Joseph Kamonga katika benki hiyo ambapo akiwasilisha changamoto ya…

Read More

Mwenge wa uhuru wazindua mradi wa maji Kahangara -Magu

  MWENGE wa Uhuru leo Jumamosi umezindua mradi wa maji Kahangara wilayani Magu uliokarabatiwa kwa thamani ya Sh milioni 508.3 huku ukitarajiwa kunufaisha wakazi 6,445 wa kata ya Kahangara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Akizundua mradi huo wilayani hapa, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru, Godfrey Mzava amempongeza Mkuu wa wilaya hiyo, Joshua…

Read More

IMF NA BENKI YA DUNIA ZAITEUA TANZANIA KUNUFAIKA NA MPANGO WA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiongoza kikao cha Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, kilichofanyika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, Jijini Dar es Salaam, ambapo ilitolewa taarifa kuwa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia (World Bank Group), zimeitangaza Tanzania kuwa…

Read More

SLOTI YA UHAKIKA YA KUKUPA USHINDI IPO MERIDIANBET

  GUNDUA Msisimko wa Mchezo wa Slot wa Rich Panda Sasa Kupatikana Meridianbet! Chaguo lako bora kwa uzoefu wa kusisimua wa michezo ya mtandaoni, inafurahia kutangaza upatikanaji wa mchezo maarufu wa slot Rich Panda kwenye jukwaa lake. Jiandae kujitumbukiza katika ulimwengu wa picha zenye kuvutia, mchezo wa kuvutia, na nafasi kubwa ya kushinda ambayo itakufanya ufurahie kwa muda…

Read More