AZAKI zataja sifa 10 za viongozi wa kuchaguliwa

  ILANI ya asasi za kiraia (AZAKI), imetaja sifa 10 za kiongozi anayeweza kuisaidia nchi kimaendeleo, ikiwamo anayesimamia na kuheshimu Katiba, kulinda haki za binadamu na kuliunganisha taifa. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Ole Ngurumwa, ameiambia MwanaHALISI kuwa sifa hiyo…

Read More

Hali ya kiutu Sudan ni ya kutisha – DW – 12.10.2024

Wafanyakazi wa shirika hilo wameizungumzia hali ya Sudan wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea nchini humo vikisababisha ongezeko kubwa la utapiamlo na njaa. Maeneo yenye mizozo hayafikiki kwa urahisi. Kwa Sudan, Shirika la Madaktari wasio na Mipaka la MSF ni miongoni mwa mashirika machache ya kimataifa ambayo bado yanaweza kufanya shughuli zake nchini humo. Wakati lilipotoa…

Read More

Putin, Pezeshkian waahidi kuimarisha uhusiano

  RAIS Vladimir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na mwenzake wa Iran, Masoud Pezekshian, nchini Turkemistan, ukiwa ni mkutano wa kwanza baina yao. Kwenye mkutano huo wa jana, viongozi hao walisifu kuimarika kwa uhusiano wa kiuchumi katika mataifa yao na mitazamo yao inayofanana kwenye siasa za dunia. Putin, ambaye nchi yake itakuwa mwenyeji wa mkutano…

Read More

TPDC Mdhamini Mkuu Mbio za Mwl. Nyerere Marathon, Mwanza

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekuwa Mdhamini Mkuu wa Mbio za Mwl. Nyerere Marathon zilizofanyika leo Jumamosi Oktoba 12, 2024 Igoma Mkoani Mwanza. Mbio hizo zimefanyika zikiwa na lengo la kuenzi falsafa ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika Maendeleo na Ustawi wa Taifa letu. Akiongea katika hafla hiyo Bw. Donald Aponde ambaye…

Read More