IPBES Inatoa Wito wa Masuluhisho Kamili, Mabadiliko ya Mabadiliko katika Kukabili Upotevu wa Bioanuwai – Masuala ya Ulimwenguni

Bioanuwai ni muhimu kwa usalama wa chakula na lishe. IPBES imeonya kuwa upotevu wa viumbe hai unaongezeka kwa kasi duniani kote, huku spishi milioni 1 za wanyama na mimea zikitishiwa kutoweka. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo) Ijumaa, Oktoba 11, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Oktoba 11 (IPS) – Mkabala wa kiujumla na mabadiliko…

Read More

Mchungaji Tengwa awataka Watanzania kuliombea Taifa

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mchungaji wa Kanisa la Uamsho na Matengenezo ya Kiroho Ulimwenguni, Mwalimu Augustine Tengwa, amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa lao kwa ajili ya amani, upendo, na usalama. Amesema kwa kuzingatia umuhimu wa uchaguzi wa mwaka huu na mwaka 2025, ni muhimu kwa kila raia kujitolea kuliombea taifa na kulinda uzalendo wao….

Read More

Kuanzishwa kwa Jukwaa la Biashara na Huduma Kariakoo kufungua fursa zaidi

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo (JWK), Martine Mbwana, ameeleza kuwa kuanzishwa kwa Jukwaa la Biashara na Huduma litakuwa chachu muhimu kwa wafanyabiashara katika soko la Kariakoo. Mbwana alisema jukwaa hilo linalenga kuwaunganisha wafanyabiashara kwa njia mbalimbali, ikiwemo upatikanaji wa masoko, kuanzisha viwanda, na kuchochea uwekezaji wa ndani. Akizungumza Oktoba…

Read More

Bashe: Tunaondoa ukiritimba vyama vya ushirika vya Tumbaku

*Ubadhirifu fedha sasa historia Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digita Watumishi wa Vyama vya Ushirika na Taasisi za Fedha wamepewa onyo kali kuacha mara moja kuhujumu malipo ya wakulima wa Tumbaku, wakibainika hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. “Tunasafisha Vyama vya Ushirika. Kiongozi na Mtumishi yoyote atakayehusika kwenye ubadhirifu wa fedha za wakulima, atasimamishwa kazi mara moja,”…

Read More

Mnada wa kwanza wa korosho Tandahimba na Newala wafana

*Wakulima wamshukuru Rais Samia Na Mwandisgi Wety, Mtanzania Digital Leo, Oktoba 11, 2024, historia mpya imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU). Mnada huo, uliofanyika katika Halmashauri ya Mji wa Newala, umeshuhudia jumla ya tani 3,857 za korosho zikiuzwa…

Read More