
DC MPOGOLO AONGOZA WAKAZI WA ILALA KATIKA ZOEZI LA KUJIANDIKISHA
Na Humphrey Shao Mkuu wa Wilaya Ilala Edward Mpogolo leo emeongoza wakazi wa Wilaya hiyo katika zoezi la uandikishaji katika Daftari la Makazi kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unataraji kufanyika Novemba 27, 2024.. Mara baada ya Kujiandikisha DC Mpogolo alipata furs ya kutembelea Vito vingine Luna hali YA zoezi hilo ambapo ametembelea…