
Wapelelezi wa mikoa wajifungia kujadili uchaguzi
WAKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mikoa (RCOs), wamejifungia jijini Dodoma kujadili na kujikumbusha wajibu wao katika kuihudumia jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu, … (endelea). Hayo yameelezwa leo tarehe 11 Oktoba 2024 na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Ramadhani Kingai, ambaye ni mwenyekiti wa kikao hicho. DCI Kingai amesema…