
Rais Mwinyi afungua S!te 2024, ampongeza Rais Samia ongezeko la watalii
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa jitihada kubwa za kuongeza mapato yatokanayo na sekta ya utalii katika kipindi kifupi cha Serikali inayoongozwa na Dk. Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Rais Mwinyi amesema hayo wakati…