Jaji mkuu awataka majaji kutumia akili mnemba,”fanyeni mazoezi kuepuka afya ya akili”

Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka majaji kutumia zaidi teknolojia ya akili mnemba ili kuondokana na changamoto ya mlundikano wa mashauri kwa lengo la kuboresha ufanisi wa mfumo wa sheria na kupunguza mashauri katika mahakama. Ameyasema hayo katika Mkutano wa nusu mwaka uliokutanisha majaji mbalimbali kutoka mahakama za Rufani Nchini kwa lengo…

Read More

Wanafunzi 588 kunufaika na ‘Samia Scholarship’

Jumla ya wanafunzi 588 wa shahada ya awali wamenufaika na fursa za ‘Samia Scholarships’ kwa mwaka huu 2024/2025, ambao wamepangiwa ruzuku yenye thamani ya TZS 2.9 bilioni. Wanafunzi hawa ni wenye ufaulu wa juu katika tahasusi za sayansi na waliodahiliwa katika vyuo mbalimbali kwenye fani za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, Hisabati na Sayansi za Tiba. HESLB…

Read More

Rich Panda kutoka Meridianbet ndiyo suluhisho

  MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamekujia na mchezo mpya wa Sloti ya kasino mitandaoni unafahamika kama Rich Panda. Mchezo huu unakupa fursa ya kupiga mkwanja wa kutosha. Ukicheza mchezo wa Rich Panda kutoka Meridianbet unapata fursa ya kujishindia mamilioni kuptia Sloti hii ambayo inabamba zaidi mjini kwasasa. Kwanini Ucheze Rich Panda?…

Read More

ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1,000 yapo Meridianbet

  Wababe wa ubashiri Tanzania hii Meridianbet wanakwambia hivi ingia kwenye akaunti yako leo na usuke jamvi kwenye mechi za Mataifa za leo ambazo zinaendelea. Beti mechi hii ya Venezuela dhidi ya Argentina ya Messi ambao leo hii wana nafasi kubwa ya kushinda kule Meridianbet wakiwa na ODDS 6.46 kwa 1.46. Mwenyeji yupo nafasi ya…

Read More

'Wakati muhimu' huku unyanyasaji dhidi ya watoto ukifikia viwango visivyo na kifani duniani kote – Global Issues

“Mamilioni ya watoto duniani kote ni wahasiriwa wa unyanyasaji wa kimwili, kingono na kisaikolojia mtandaoni na nje ya mtandao, ikiwa ni pamoja na ajira ya watoto, ndoa za utotoni, ukeketaji, unyanyasaji wa kijinsia, biashara haramu, uonevu na unyanyasaji mtandaoni, miongoni mwa mengine mengi,” alisema. . Kulingana na ripoti hiyo watoto wengi zaidi wako katika hatari…

Read More

Katika Maeneo ya Vijijini nchini Zimbabwe, Baiskeli Huwaweka Wasichana Shuleni – Masuala ya Ulimwenguni

Faith Machavi akiendesha baiskeli katika Sekondari ya Mwenje Dumisani, Chiredzi, nchini Zimbabwe. Credit: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (chiredzi, zimbabwe) Alhamisi, Oktoba 10, 2024 Inter Press Service CHIREDZI, Zimbabwe, Oktoba 10 (IPS) – Rejoice Muzamani anasoma kujiandaa na karatasi yake ijayo wakati wa mitihani ya mwisho wa muhula katika Shule ya Msingi ya…

Read More

Azerbaijan Inageuka kuwa a "Gereza kubwa la Open Air" kwa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi – Masuala ya Ulimwenguni

Ilham Aliyev, rais wa Azerbaijan, anapunga mkono kutoka kwa maelfu ya mabango yaliyotawanyika kote nchini. Aliingia madarakani mwaka wa 2003, akimrithi babake ofisini. Credit: David Fielke/IPS na Karlos Zurutuza (Roma) Alhamisi, Oktoba 10, 2024 Inter Press Service ROMA, Oktoba 10 (IPS) – Tarehe 20 Novemba 2023, Ulvi Hasanli, mkurugenzi wa AbzasMedia —chombo huru cha habari…

Read More

BALOZI NAIMI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO IAEA

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mashirika ya Umoja wa Mataifa jijini Vienna, Austria Mhe. Naimi Aziz amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) Mhe. Rafael Mariano Grossi katika tukio lililofanyika tarehe 10 Oktoba, 2024. Wakizungumza baada ya tukio la kukabidhi Hati,…

Read More