SERIKALI YABAINISHA MIKAKATI YA KUWEZESHA VIJANA KIUCHUMI TANZANIA BARA NA ZANZIBAR

Serikali imeendelea kuweka mikakati endelevu ya kuwawezesha vijana nchini ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali na kukuza uchumi wa Taifa. Hayo yameelezwa wakati wa Kongamano la Vijana lililofanyika leo Oktoba 10, 2024, jijini Mwanza. Akizungumza Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe.Tabia Maulid Mwita amesema Serikali ya Awamu ya Sita…

Read More

Zaidi ya wakazi million 1.4 wa mkoa wa Tanga Wanatarajiwa kuandikishwa katika daftari la kudumu la mpiga kura

Raisa Said, Tanga Zaidi ya wakazi million 1.4 wa Mkoa wa Tanga wanatarajiwa kujiandikisha katika zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura linaloanza rasmi oktoba 11 hadi oktoba 20 nchini kote Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake wakati akizindua…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATOA UELEKEO CHAGUZI ZIJAZO

-Asisitiza waliobora wapate nafasi -Akemea viongozi wanaojigeuza miunguwatu, badala ya kutumikia watu -Asisitiza kila mwanachama wa CCM ana haki sawa na mwingine Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewataka viongozi wa CCM kutenda haki kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba mwaka huu. Akizungumza na viongozi na wanachama mbalimbali…

Read More

KAMPUNI ya Azam Media Group imezindua kampeni maalumu inayojulikana kama ‘MENU IMEKAMILIKA’

KAMPUNI ya Azam Media Group imezindua kampeni maalumu inayojulikana kama ‘MENU IMEKAMILIKA’ Akizungumza na waandishi wa habari baada ya uzinduzi wa kampeni hiyo leo Oktoba 10,2024 Bunju jijini Dar Es Salaam Meneja Mawasiliano na Mahusiao wa Azam Media, Christinah Korosso, amesema kupitia kampeni hiyo wanalenga kuboresha zaidi huduma kwa wateja wao. Amesema miongoni mwa maboresho…

Read More