Sightsavers Calls for Inclusive Eye Health on World Sight Day

After cataract surgery, Utena from Gehandu village became a local advocate, inspiring her community to seek eye care. This World Sight Day, Thursday 10 October, international development organisation Sightsavers is calling for better access to eye health services for everyone and an integration of eye health into Universal Health Coverage (UHC). Vision problems do not…

Read More

Kwa Mabadiliko ya Tabianchi, Kutojali kwa Serikali, Wafanyabiashara wa Samaki wa Kerala Wanapaswa Kumgeukia Nani? – Masuala ya Ulimwenguni

Nyavu za Kichina za uvuvi kando ya pwani ya Kerala hutoa mandhari ya kupendeza ambayo huvutia watalii kutoka kote ulimwenguni. Hata hivyo, wavuvi ambao wamezitumia kwa maisha ya karne nyingi wako hatarini. Credit: Aishwarya Bajpai/IPS Maoni na Aishwarya Bajpai (kochi, india) Alhamisi, Oktoba 10, 2024 Inter Press Service KOCHI, India, Oktoba 10 (IPS) – Wavuvi…

Read More

CCM YAENDELEA KUPASUA VYAMA VYA UPINZANI.

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi kupitia jimbo la Vunjo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, Liberat Mchau ametimkia Chama cha Mapinduzi na kupokelewa na Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Mercy Mollel katika mkutano wa Chama jimbo la Vunjo. Mchau alisema kuwa, lengo la kutimkia CCM ni baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Serikali ya…

Read More

TCAA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Menejimenti ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani kupitia ofisi yake ya utoaji wa  taarifa za usafiri wa Anga  iliyopo kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) imekutana na Marubani pamoja na Maofisa wa utoaji wa taarifa za usafiri na Usalama wa anga. Akiongoza…

Read More

Waliofariki ajali ya boti Kongo ni 34 – DW – 10.10.2024

Miili ya watu 11 kati ya 34 waliothibitishwa kufariki ilizikwa kwenye shamba la makaburi la makao, wilayani Nyiragongo, umbali kidogo kutoka mji wa Goma. Hata hivyo, gesi inayoendelea kuwa kwenye Ziwa Kivu imekuwa kikwazo katika juhudi za kuopoa miili mingine inayozaniwa kuwa imekwama kwenye mabaki ya boti iliyojaa. Mazishi ya watu 11 yalifanyika Jumatano Mazishi…

Read More