ZANZIBAR INAHITAJI WADAU ZAIDI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KUUTUNZA,KUUHIFADHI NA KUENDELEZA MJI MKONGWE

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kiongozi wa msafara wa Taasisi ya “International National Trust Organisation” kutoka Nchini Uingereza.Meneja Mradi David Simpson (kulia kwa Rais)mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2024,na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe….

Read More

TANZANIA NI NCHI INAYOHESHIMU DEMOKRASIA

Na Linda Akyoo -Moshi. Ikiwa imebaki siku moja kuelekea uandikishaji wa wapiga kura katika Daftari la Orodha ya Wapiga kura(Daftari la Makazi),Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe,Nurdin Babu amewahasa wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro kutoka majumbani kwao na kwenda kujiandikisha katika Daftari la Orodha ya Wapiga kura ili kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba…

Read More

Urusi yatumia wanawake wa Kiafrika kutengeneza droni – DW – 10.10.2024

Karibu wanawake 200 wenye miaka 18-22 kutoka barani Afrika, wamekuwa wakisajiliwa kwenda kufanya kazi Urusi, katika kiwanda kinachohusika kuunda maelfu ya droni za Iran zinazotumika kuishambulia Ukraine. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti maalumu iliyotolewa na shirika la habari la Associated Press baada ya kukamilisha uchunguzi wake. Wanawake hao kutoka barani Afrika wamekuwa wakifanya kazi…

Read More

Taarifa za moja kwa moja kutoka kwa Baraza la Usalama na Umoja wa Mataifa kote – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Dar al Mussawir/Ramzi Haidar Vitongoji vya kusini mwa Beirut viko magofu kufuatia mashambulizi ya anga ya Israel huko Lebanon. Jumatano, Oktoba 09, 2024 Habari za Umoja wa Mataifa Wakati machafuko yakiendelea Mashariki ya Kati, maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa walitoa taarifa za kibinadamu juu ya athari za kuendelea kwa mapigano huko Lebanon na…

Read More