Ni zamu ya Ali Maua Kijitonyama

Leo imekua zamu ya Ali Maua Kijitonyama kufikiwa na kampuni ya Meridianbet ambapo wameendelea kufanya ambayo wamekua wakiyafanya mara kwa mara ambapo wamefanikiwa kutoa msaada kwa jamii. Meridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Kijitonyama Ali Maua leo na kutoa msaada kwafamilia mbalimbali ambazo zinapitia changamoto mbalimbali na zisizojiweza, Hii inaendeleakuonesha namna mabingwa hao wa kubashiri wanavyoijali…

Read More

‘Utashi wa kisiasa kikwazo mabadiliko sheria ya ndoa’

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mabadiliko ya Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 hayajatekelezwa kwa sababu mbalimbali ikiwamo kukosekana kwa utashi wa kisiasa kutoka kwa baadhi ya viongozi pamoja na kuwapo kwa mila na desturi potofu kwenye jamii, imeelezwa. Mwaka 2016 Mwanaharakati, Rebecca Gyumi alishinda kesi aliyofungua mahakamani kupinga Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971…

Read More

Utafiti wa Kisayansi Unaweza Kuwa na Jukumu Muhimu katika Kufungua Fedha za Hali ya Hewa – Masuala ya Ulimwenguni

Zaidi ya waandishi 700 wanaowakilisha mataifa 90 tofauti waliandika AR6 ya IPCC | Mkopo: Margaret López/IPS Maoni na Margaret Lopez (caracas) Jumanne, Oktoba 29, 2024 Inter Press Service CARACAS, Oktoba 29 (IPS) – Fedha za hali ya hewa zitakuwa chini ya uangalizi mkali wakati wa COP29, na usambazaji wake kuendana na uchambuzi wa kisayansi wa…

Read More

MIAKA 50 YA HIFADHI YA TAIFA KATAVI YAENDA SANJARI NA UZINDUZI WA UJENZI WA NYUMBA 12 ZA MAAFISA NA ASKARI WA UHIFADHI – KATAVI.

Na. Jacob Kasiri – Katavi. Furaha imetamalaki katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Hifadhi ya Taifa Katavi leo tarehe 29 Oktoba, 2024 wakati wa sherehe hizo baada ya mradi wa kuhifadhi ikolojia ya Hifadhi za Taifa Katavi, Milima Mahale na Ushoroba unaounganisha hifadhi hizi almaarufu KAMACO kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa…

Read More

JK AENDELEZA JUHUDI KUKUZA SEKTA YA MAJI BARANI AFRIKA.

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Maji Barani Afrika (Global Water Partnership – Southern Africa and Africa Coordination Unit – GWPSA – Africa) uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2024, jijini Pretoria, Afrika Kusini. Rais Mtaafu Dkt. Kikwete ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi hiyo inayotoa…

Read More

BILIONI 60 zimetengwa kuboresha Bandari 3 Ziwa Victoria

Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Erasto Lugenge aliwaambia wandishi wa habari waliotembelea bandari za Bukoba na Kemondo kuwa uwekezaji huu mkubwa katika bandari za Kemondo, Bukoba na Mwanza Kaskazini unatarajiwa kuboresha ufanisi na uwezo wa huduma za usafiri katika eneo hilo. Bw. Lugenge, ambaye anasimamia bandari 12 upande wa Tanzania wa ziwa hilo, amesema…

Read More

UNRWA huenda ikazuiwa kufanya shughuli zake Gaza – DW – 29.10.2024

Wasiwasi umeongezeka kufuatia hatua ya Israel kupitisha sheria ya kutaka  kulizuia shirika la Umoja wa Mataifa la kuwasaidia wakimbizi wa Kipalestina kufanya shughuli zake Ukanda wa Gaza. Jengo lililoshambuliwa na Israel, Beit LahiaPicha: AFP/Getty Images Wasiwasi huo unakuja wakati Wapalestina wanaendelea kufukua vifusi kaskazini mwa Gaza,huku wengine wakiomboleza kupoteza jamaa zao, baada ya jeshi la…

Read More