SHIUMA lataka wamachinga Iringa kukomesha migogoro

Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) limewataka wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga mjini Iringa kukomesha migogoro inayowagawa ili wawe na sauti moja katika kushughulikia masuala yao. Wito huu umetolewa leo, na Katibu Mkuu wa SHIUMA Taifa, Venatus Magayane katika kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Highlands Hall, Manispaa ya Iringa. Katika kongamano hilo, Magaye alikiri…

Read More

Msumbiji yaanza kuhesabu kura – DW – 10.10.2024

Shughuli ya kuhesabu kura ilianza muda mfupi baada ya vituo vya kupigia kura kufungwa majira ya saa 12 jioni kwa saa za Msumbiji, huku matokeo ya awali yakitarajiwa kutolewa katika muda wa wiki mbili zijazo. Viongozi wawili wakuu wa upinzani wameonya kuhusu udanganyifu katika uchaguzi huo kwenye taifa hilo la kusini mwa Afrika, linalokabiliwa na…

Read More

TRA kuzidi kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara

Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusufu Mwenda, ameahidi kushirikiana Kwa karibu na wafanyabiashara, kuhakikisha kuwa wanapata msaada unaohohitajika ili kufanikisha malengo ya Serikali Katika kukuza uchumi wa wafanyabiashara wa Mkoa wa Iringa. Mwenda amebainisha hayo katika kikao cha wafanyabiashara kilichofanyika katika Manispaa ya Iringa ambapo amesema mamlaka itaendelea kuboresha mazingira yanayowezesha wafanyabiashara…

Read More

Dkt Biteko aungana na Wanabukombe kwenye mbio fupi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt.Doto Biteko leo Oktoba 10, 2024 ameungana na wananchi wa Bukombe kwenye mazoezi ya kukimbia mbio fupi za KM 5 ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Mwalimu Duniani ambayo yanafanyika Wilayani Bukombe, Oktoba 11, 2024. Mbio hizo zimehudhuriwa na…

Read More

Bunge la Ujerumani kujadili ulinzi wa Mahakama ya Katiba – DW – 10.10.2024

Pendekezo hilo lililowasilishwa na serikali ya muungano ya Kansela Olaf Scholz na chama cha upinzani cha Christian Democratic Union CDU, linalenga kuainisha ulinzi kwa mahakama hiyo katika katiba ya Ujerumani. Hapo Jumatano, waziri wa haki Marco Buschmann aliashiria kuliunga mkono pendekezo hilo katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Ujerumani ARD. “Tumeona nchini Poland na…

Read More

RC BABU "KILIMANJARO TUPO TAYARI KWA AJILI YA KUANDIKISHA WANANCHI KATIKA DAFTARI LA MKAZI"

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema kuwa maandalizi ya kuelekea kwenye zoezi la uandikishaji wananchi katika Daftari la mkazi litakaloanza kesho yamekamilika ambapo jumla ya vituo 2368 vitatumika. Babu ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari ofisini kwake ambapo alisema kuwa, mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi…

Read More

RC MAKONDA KINARA WA UBUNIFU

Na Linda Akyoo -Arusha Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Doto Mashaka Biteko leo Oktoba 09, 2024 amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda kwa ubunifu wake katika Uongozi, suala ambalo limechangia kuitangaza Arusha kimataifa na kuvutia wageni na mikutano mingi zaidi kwenye Mkoa huo wa Kaskazini mwa…

Read More