
Vodacom yawafikia abiria wa ‘Treni ya Mwakyembe’
KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imewafikia abiria wa treni ya Dar es Salaam maarufu kama ‘Treni ya Mwakyembe’ katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja. Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania, Happiness Shuma (kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC) Never…