
PDPC Yaombwa Kutoa Elimu kwa Umma Kuhusu Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi – MWANAHARAKATI MZALENDO
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TUME ya Taifa ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeombwa kutoa elimu kwa umma kuhusu Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ili kuongeza uelewa katika jamii. Ombi hilo limetolewa leo Oktoba 9,2024 Jijini Dar es Salaam,katika mafunzo ya kukuza uelewa wa sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi ambayo…