RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya vifaa vya uchunguzi na vifaa tiba katika kuboresha huduma kwenye hospitali, vituo vya afya na zahanati. Ambapo katika kipindi cha miaka mitatu, Serikali imenunua mashine za altrasound 457 na hivyo kufikisha idadi ya mashine 970 ambazo zimesambazwa…

Read More

OFISI YA WAZIRI MKUU, IBI ZASAINI MAKUBALIANO

Na Mwandishi wetu- Dodoma Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu na Taasisi ya Mpango wa Biashara wa Kimataifa (IBI) zimesaini makubaliano kuhusu mashirikiano katika masuala ya Ufuatiliaji na Tathmini. Makubaliano hayo yamesainiwa leo tarehe 08 Oktoba 2024 katika ukumbi wa ofisi hiyo ambapo mara baada ya kutia saini, Katibu Mkuu katika ofisi hiyo…

Read More