Wazazi wapewa angalizo matumizi ya simu, kompyuta kwa watoto

  MKURUGENZI wa Huduma za Tiba Dk. Hamad Nyembea, amewataka wazazi na walezi, kulinda afya ya macho ya watoto, kwa kuzingatia muda wanaotumia kwenye runinga, simu pamoja na kompyuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk. Nyembea ameyasema hayo leo tarehe 09 Oktoba 2024, alipokuwa akifunga maadhimisho ya wiki ya macho Duniani yaliyofanyika katika kituo…

Read More

Gachagua kunyoa au kusuka Bunge la Seneti wiki ijayo

  BUNGE la Seneti nchini Kenya, litaanza kujadili hoja ya kumuondoa ofisini, Naibu wa Rais, Rigathi Gachagua, Jumatano na Alhamisi, wiki ijayo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Seneti limepokea hoja kutoka kwa kiongozi wa walio wengi Aaron Cheruyot, baada ya bunge la kitaifa, kupiga kura ya kumtimua Gachagua jana Jumanne. Bunge zima la Seneti…

Read More

BASHE: ACHENI SERIKALI IJENGE MFUMO IMARA WA TUMBAKU NCHINI

SERIKALI yatuma salamu kwa wafanyabiashara na viongozi wababaishaji wanaokandamiza wakulima wa Tumbaku kwa kuchelewesha malipo ya fedha za ruzuku ya mbolea ili kuacha mara moja tabia hiyo laa sivyo watatajwa hadharani.   Salamu hizo zimetolewa na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) tarehe 9 Oktoba 2024 kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu wa Rais wa…

Read More

Watengenezaji mkaa mbadala waitwa Tirdo kuongeza ujuzi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema watengenezaji wengi wa mkaa mbadala bado wanatumia mabaki ya mkaa unaotokana na kuni na kuwahamasisha kwenda kupata mafunzo kwa kuwa wametengeneza kanuni mbalimbali za ujifunzaji. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO), Profesa Mkumbukwa Mtambo,…

Read More

Majaji Mahakama ya Rufani watoa nasaha kuzidi kuijenga WCF

Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Juma ameupongeza Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa kuendelea kutafuta maoni kuhusu sheria inayoisimamia Mfuko huo ili kuboresha utoaji wa fidia kwa wafanyakazi. Jaji Mkuu ametoa wito huo jijini Arusha wakati wa ufunguzi wa kikao kazi baina ya Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania na Mfuko…

Read More

Walioua kwa deni la 300,000/- watiwa mbaroni

  JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Saidi Mfaume (40), mkazi wa Mbagala, Mlandizi kisa deni la shilingi 300,000. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea). Taarifa za awali zinaeleza kuwa mke wa marehemu Juma, Khadija Ramadhani na mumewe, walikopa kiasi cha shilingi 300,000 kwenye kampuni ya…

Read More